Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Na ndio maana pamoja na kwamba tunapanda juu ktk vigezo vya nchi ambazo zina mazingira rahisi ya kufanya biz lkn bado vikwazo kama hivi kwa kweli vinatuangusha.

Hii w/holding tax serikali inabidi iitoe tu maana ni wizi, unamkata mtu kodi unamwambia mwenye nyumba atairudisha, anairudishaje? na wengi hawarudishi maana wanakuwa wamelipa kodi ya jengo hivyo kurudisha hiyo kodi kwa mpangaji ni kumuumiza zaidi, huu mpango JPM inabidi aingilie kati.
 
Hapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
hawa voda na tgo mbna wamepunguza kias cha commision lakn naona ww hapo unafikisha hadi 400k unafanyj fanyaje asee
 
Na ndio maana pamoja na kwamba tunapanda juu ktk vigezo vya nchi ambazo zina mazingira rahisi ya kufanya biz lkn bado vikwazo kama hivi kwa kweli vinatuangusha.
Sana na ajabu waliopewa dhamana hakuna anae ona kama kuna vitu vidogo sana lakini ni mzigo mzito sana kwa wafanyabiashara, hawaangalii kwa nini kila mtu anataka kuwa mmachinga wanapiga makofi tu.
 
ndo mana tunasema watanzania tuna roho ya uchoyo sana yaan jamaa kaamua kutuahirikisha biashara yake sisi wote afu ww unasema aku PM peke yako.....angekuwa mchoyo hvo angeandka hapa jukwaan?
How do you make it mkuu?... I wish sana kuwa na hii business....ila nina tigo pesa na mpesa tu....ila commision yake ni ndogo sana mkuu....tatizo nipo sehemu ambayo ni population less....dah hongera boss...sometimes nikiona kuna wanaofanikiwa napata moyo kwamba kama na ninyi mmeweza so hata kwangu inawezekana...mkuu naomba hata nipm your secrets of how you make it boss...please!
 
Sasa siku ukipata lost inakuwaje let say labda ndani ya siku 10.
Au ndani ya mwezi ww ni won tu?@Crumpy Crumper,
 
hawa voda na tgo mbna wamepunguza kias cha commision lakn naona ww hapo unafikisha hadi 400k unafanyj fanyaje asee
Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.
IMG_20191030_065528_5.jpeg
 
biashara gan unafanya
mkuu kuwekeza 10m kwenye uber au 7m kwenye bajaji then ukawa unakusanya 20k to 30k kwa siku huo ni udhaifu wa akili labda kama unaendesha mwenyewe, kwa mtaji huo mimi nakusanya zaidi ya 150k mpaka 300k per day kama faida
 
Hiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.

Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.

Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.



Kuna dogo alifnikiwa sana miaka miwili ya hapa juzi2016had leo hii ni succesful...kumbe bwana anaamini waganga...!anaaminishwa aishi na mwanamke umri wa mama mzaz!

Kufupisha stry huyo bibi amekwazana naye walifumaniana sijui...dogo alikia ana zaidi ya bodaboda 22...!jana ameziuza zote kwa bei ya 700k!
Anasema mganga amemwambia auze hela amplekee akaifanyie ndumb😅!hv ndo anavyoamini yy...!
 
Back
Top Bottom