Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

then unawatimua kwa hasira

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah we mwamba n noma[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nimekupenda Bure
 
Mimi ya kwangu tigo haijawahi kuvuka 200k voda ndio kabisaa 70k Ofisi zako zipo maeneo gani mkuu?

Kuna jamaa yangu anaofisi yake moja anapiga kazi hadi kaweka madirisha matatu kama bank,mlinzi,n.k
 
Duh kweli aiseee maisha hayapo Sawa yaani mimi ukichanganya kamisioni zamitandao yote haifiki hiyo laki 5.
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huku unaweza kustaafu kazi @ age ya 30s,unapiga mkwanja wa mafao kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]
 
beli 1 tuseme nguo za watoto unaweza kukutana na Pair ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…