Achana navyo mkuu havina dili saiviMkuu vitambulisho vya machinga vinapatikana wapi?
Asante kwa jibu zuri na linaloeleweka mkuuNguruwe unatafuta maporini,vijijini,mashambani na unachinja daily.unatakiwa uchinjie machinjio ya kitimoto kama yapo ile ugongewe mihuri na mabwana afya,kazi yako inakuwa kusupply kwa wateja wako ambao ni mabucha,majiko ya wauzaji rejareja,na wanaonunua kilo nyingi kwa ku pre-order,unatakiwa uwe na kijana wa kusambaza kwa wahusika daily,Asubuhi ukiamka ni simu tu kwa wateja wako kuuliza wanahitaji kg ngapi?,hii kazi ukiacha hata siku moja unapoteza wateja wote,maana ni kazi ya 365 days.kazi ni kupata Nguruwe na kuna hasara pia.Mr nimechoka kuandika nafanya nshu nyingine saa hii
Nawezaje kukupata...kuna jambo hapaMiezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
noti feki ni simpo sana kuzitambua , ukiwa mzoefu na kazi hii ya kushika pesa automatically unazitambua. Ila pia kama una machine ya kuhesabia pesa zitakamatika . Mimi tangu naanza nimezikamata mara tatu na zipo ofisini nimezibandika kwa ajili ya wengine wazione.hv mawakala huwa mnakabiliana vp na hawa matapeli mfano mtu anakuja kudeposit pesa afu anakupa noti feki (unatumia njia gan kutambua noti feki)
na pia kuna wale matapeli wanakuja wanakutumia sms kiujanja kwamba wamewithdraw kumbe hamna ktu, pasipo kujua ww unawapa hela wanasepa badae kuangalia salio unakuta hamna ktu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kalaghabaho mkuu
please start with an exit strategy (anzia mwsho kujiulza kwny masuala ya biashara,nifanyia nn nikipata 30k kwa siku?)
Yani yule muuzaji sio?hapana sio lazma uwe umesoma science...kikubwa uwe na mtu aliesomea mambo ya madawa (pharmacy) afu mengne yote inawezekana
Pale umemaanisha mtaji wa 30k-50k au faida
naomba ABC za hiyo biashara tafadhali mkuu.Nunua gari dogo fanya Uber,Taxify,Quitax iwapo upo Dar es Salaam, Mwanza na Arusha
Asante mkuu,Achana navyo mkuu havina dili saivi
wengine tulichukua kujificha tu ila havina issue yyte
usipoteze hela yako kununua..
ila kama umedhamiria "nenda ofisi ya serikali yako ya mtaaa utavikuta vyakutosha"
Kama hadi msomi kama wewe unaamini imani za kishirikina,basi kama taifa tuna safari ndefu sanaNishawahi kufanya deep conversation na two most successful businessmen, mmoja ana sheri za Mafuta na maroli mwengne anamaduka ya hardware na anamaroli, pia nmetoka kuhitim elimu ya utawala biashara, hivo matumizi ya imani hayaingiliani kabisa na issue za location na changamoto zingne, in short uchawi kwenye business upo
Sio akiweza, packaging ni moja ya element za kutangaza biashara na jina ili kuwafikia wateja.Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka..ukiweza fanya packaging.
Kama mpaka Bible takatifu inaamini ushirikina leo mm na usomi wangu tuKama hadi msomi kama wewe unaamini imani za kishirikina,basi kama taifa tuna safari ndefu sana
Unataka kusema alivyoenda shule alienda kupambana na wachawi?Kama hadi msomi kama wewe unaamini imani za kishirikina,basi kama taifa tuna safari ndefu sana
Hata hivyo huko chuo hawafundishi kupambana na wachawi. Kama haamini kama upo aendelee kutoamini.Kama mpaka Bible takatifu inaamini ushirikina leo mm na usomi wangu tu
Wajinga ndio waliwao...nenda kwa mganga kwenye nyumba yake ya nyasi huko vijijini ukampe kuku akupe utajiri uwe bilionea kama kina bakhresaUnataka kusema alivyoenda shule alienda kupambana na wachawi?
Tusijidanganye kuwa uchawi haupo ilihali tunajua upo, awepo Mungu halafu uchawi( shetani) ukosekane?
Sasa unasubiri nini...nenda kwa waganga huko vijijini wakakupe ubilionea...wanahitaji kuku tu mkuuKama mpaka Bible takatifu inaamini ushirikina leo mm na usomi wangu tu
Hapa unaongelea wasomi kuamini kuwepo kwa uchawi au unaongelea wasomi ku-practice uchawi.Wajinga ndio waliwao...nenda kwa mganga kwenye nyumba yake ya nyasi huko vijijini ukampe kuku akupe utajiri uwe bilionea kama kina bakhresa