Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Asante kwa jibu zuri na linaloeleweka mkuu
 
Nawezaje kukupata...kuna jambo hapa
 
noti feki ni simpo sana kuzitambua , ukiwa mzoefu na kazi hii ya kushika pesa automatically unazitambua. Ila pia kama una machine ya kuhesabia pesa zitakamatika . Mimi tangu naanza nimezikamata mara tatu na zipo ofisini nimezibandika kwa ajili ya wengine wazione.

Kuhusu matapeli mimi huwa nawapeleka wafanya kazi kupata semina kwa wakala mkuu. Huwa wanaelezwa mitego na mbinu za kukabiliana na matapeli
 
Achana navyo mkuu havina dili saivi

wengine tulichukua kujificha tu ila havina issue yyte

usipoteze hela yako kununua..

ila kama umedhamiria "nenda ofisi ya serikali yako ya mtaaa utavikuta vyakutosha"
Asante mkuu,
 
Kama hadi msomi kama wewe unaamini imani za kishirikina,basi kama taifa tuna safari ndefu sana
 
Unataka kusema alivyoenda shule alienda kupambana na wachawi?

Tusijidanganye kuwa uchawi haupo ilihali tunajua upo, awepo Mungu halafu uchawi( shetani) ukosekane?
Wajinga ndio waliwao...nenda kwa mganga kwenye nyumba yake ya nyasi huko vijijini ukampe kuku akupe utajiri uwe bilionea kama kina bakhresa
 
Wajinga ndio waliwao...nenda kwa mganga kwenye nyumba yake ya nyasi huko vijijini ukampe kuku akupe utajiri uwe bilionea kama kina bakhresa
Hapa unaongelea wasomi kuamini kuwepo kwa uchawi au unaongelea wasomi ku-practice uchawi.

Uchawi upo, practice is an option. Huko kwenu hujawahi sikia watu wamerogwa na kufa? hata neno gamboshi hujawahi kulisikia au ndo huko kusema hutaki kuamini ukiwa online ila ukienda zako kitaa unafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…