Nusu bin nusu!Faida ipoje?
Huogopi dhambi mkuu?[emoji28]Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Nimeipenda hiiNauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Ulikua unaifanyaje??Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Hii inafanyikaje mkuuBiashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
25 -30Unaonyesha unaongea kitu usicho na uzoefu nacho
unaongea stori za kuambiana huko...
nijibu hili swali then ndipo tuendelee na Ligi maana unaonyesha unataka ligi
mafuta ya 5000 yanaweza kukupa sh ngapi kwenye Boda boda??
Assume piki piki haina mafuta kabisa then mtu akaenda sheli akakuekea kwenye tank mafuta ya 5000
Niambie mpk yale mafuta yanaisha yatakupa sio chini ya sh ngapi????
Naomba jibu..
Kumbe unaamini wapo ila huamini madhara yao katika biashara? basi usimshangae huyo jamaa kuamini uchawi upo kama na wewe unaamini upo. Hii ndo ilikua point.Binafsi siamini kama biashara zako zinaweza fanikiwa kwa kupitia ushirikina...hicho ndo nachopinga...kuna waganga wa kienyeji wamevamia huu uzi kutafuta wateja
Hiyo 30 per day kufika hapo ulipotoa cash milion 7 mfukoni itachukua muda gani??Mtaji lazina uwe zaidi ya 6/7m.. ukinunua bajaji 7.2m na kuitoa mkataba wa miezi 10.. kila siku anakuletea hesabu ya 30k.. na service kwake ww ni hesabu tuu
Aaaaah Aaaaah Mkuu Ndomu Hazitupwi Toileta Tulikuwa Tunazichoma Na Kufukia Shimo Liko Nyuma Ya Lodge
Ndio Mkuu, Hata Shuka Watu Wanaziacha Mpaka Na Mavi Inabid Ufue Tu, Mim Hapa Palinishinda Mkuu Ikabid Atafutwe Mzee Mmoja Awe Anafua Nikakatwa Mshaara Nikawa Nalipwa LakiMkuu, hivi mtu aliyetumia ndom huwa anaiacha tu chumbani/chooni mpaka ichukuliwe na mfanya usafi? Mi nadhani asilimia zaidi ya 80 huwa wanazitupa chooni tu!
Wakuu, hebu leteni experience zenu ktk jambo hili
Mhh hizi hesabu mkuu haziko sawa.Mtaji lazina uwe zaidi ya 6/7m.. ukinunua bajaji 7.2m na kuitoa mkataba wa miezi 10.. kila siku anakuletea hesabu ya 30k.. na service kwake ww ni hesabu tuu
Hahaha walikuwa wanatumia 071....Ndio Mkuu, Hata Shuka Watu Wanaziacha Mpaka Na Mavi Inabid Ufue Tu, Mim Hapa Palinishinda Mkuu Ikabid Atafutwe Mzee Mmoja Awe Anafua Nikakatwa Mshaara Nikawa Nalipwa Laki
JmnNdio Mkuu, Hata Shuka Watu Wanaziacha Mpaka Na Mavi Inabid Ufue Tu, Mim Hapa Palinishinda Mkuu Ikabid Atafutwe Mzee Mmoja Awe Anafua Nikakatwa Mshaara Nikawa Nalipwa Laki
Asante Mkuu, MaishaNi Changamoto Sana.Jmn
Pole,starehe za wengine wewe ushike uchafu
scam scam scam
Make money online now