Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Ukiwa na mtaji wa 350k almost $150+ bac unaweza kutengeneza zaid ya 30k kwa siku, tafuta wataalamu wa crypto na forex ufundishwe huko ndo hela iko utakuza capital yako mpaka utashangaa cha msing tu usiwe na tamaa sana na uwe na risk management tena saivi kama ukitrade v75 kama unaijua vizuri bac kwa cku unaingiza hela ambazo hukuwai kuzania kama utaingiza per day hii kutokana na mtaj wako
 
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Huogopi dhambi mkuu?[emoji28]
 
Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Ulikua unaifanyaje??
 
Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Hii inafanyikaje mkuu
 
Unaonyesha unaongea kitu usicho na uzoefu nacho

unaongea stori za kuambiana huko...

nijibu hili swali then ndipo tuendelee na Ligi maana unaonyesha unataka ligi

mafuta ya 5000 yanaweza kukupa sh ngapi kwenye Boda boda??

Assume piki piki haina mafuta kabisa then mtu akaenda sheli akakuekea kwenye tank mafuta ya 5000

Niambie mpk yale mafuta yanaisha yatakupa sio chini ya sh ngapi????

Naomba jibu..
25 -30
 
Binafsi siamini kama biashara zako zinaweza fanikiwa kwa kupitia ushirikina...hicho ndo nachopinga...kuna waganga wa kienyeji wamevamia huu uzi kutafuta wateja
Kumbe unaamini wapo ila huamini madhara yao katika biashara? basi usimshangae huyo jamaa kuamini uchawi upo kama na wewe unaamini upo. Hii ndo ilikua point.

Kuamini na kutekeleza uchawi hivyo ni vitu viwili tofauti.
 
Mtaji lazina uwe zaidi ya 6/7m.. ukinunua bajaji 7.2m na kuitoa mkataba wa miezi 10.. kila siku anakuletea hesabu ya 30k.. na service kwake ww ni hesabu tuu
Hiyo 30 per day kufika hapo ulipotoa cash milion 7 mfukoni itachukua muda gani??
Kumbuka unapotoa 7milion mfukoni tayari ulikuwa nayo hiyo 7milion, ukianza kuingiza 30 per day sio 7m tena
 
Mkuu, hivi mtu aliyetumia ndom huwa anaiacha tu chumbani/chooni mpaka ichukuliwe na mfanya usafi? Mi nadhani asilimia zaidi ya 80 huwa wanazitupa chooni tu!
Wakuu, hebu leteni experience zenu ktk jambo hili
Aaaaah Aaaaah Mkuu Ndomu Hazitupwi Toileta Tulikuwa Tunazichoma Na Kufukia Shimo Liko Nyuma Ya Lodge
 
Mkuu, hivi mtu aliyetumia ndom huwa anaiacha tu chumbani/chooni mpaka ichukuliwe na mfanya usafi? Mi nadhani asilimia zaidi ya 80 huwa wanazitupa chooni tu!
Wakuu, hebu leteni experience zenu ktk jambo hili
Ndio Mkuu, Hata Shuka Watu Wanaziacha Mpaka Na Mavi Inabid Ufue Tu, Mim Hapa Palinishinda Mkuu Ikabid Atafutwe Mzee Mmoja Awe Anafua Nikakatwa Mshaara Nikawa Nalipwa Laki
 
Mtaji lazina uwe zaidi ya 6/7m.. ukinunua bajaji 7.2m na kuitoa mkataba wa miezi 10.. kila siku anakuletea hesabu ya 30k.. na service kwake ww ni hesabu tuu
Mhh hizi hesabu mkuu haziko sawa.
Hesabu 30k x 30= 900,000/= monthly

Mara miezi ya mktabu
900,000 x 10= 9,000,000/= Jumla ya pato ktk muda wa mkataba

Toa gharama za manunuzi
9,000,000- 7,200,000/=1,800,000/=

Faida uipatayo kwa siku
1,800,000/(30x10)= 6,000/= kwa siku.

Hii sio biashara ni hasara. 7m kukupa faida ya 6k ni ovyo kabisa.
 
Ndio Mkuu, Hata Shuka Watu Wanaziacha Mpaka Na Mavi Inabid Ufue Tu, Mim Hapa Palinishinda Mkuu Ikabid Atafutwe Mzee Mmoja Awe Anafua Nikakatwa Mshaara Nikawa Nalipwa Laki
Hahaha walikuwa wanatumia 071....
 
Back
Top Bottom