Despacito
Member
- Sep 18, 2017
- 77
- 160
Ukiwa na mtaji wa 350k almost $150+ bac unaweza kutengeneza zaid ya 30k kwa siku, tafuta wataalamu wa crypto na forex ufundishwe huko ndo hela iko utakuza capital yako mpaka utashangaa cha msing tu usiwe na tamaa sana na uwe na risk management tena saivi kama ukitrade v75 kama unaijua vizuri bac kwa cku unaingiza hela ambazo hukuwai kuzania kama utaingiza per day hii kutokana na mtaj wako