Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mkataba wao na wewe upoje boss? Je boda umeifunga tracker incase ikiibiwa? Natamani kufanya hii ila napata ka uoga flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba upoje? Na boda anailaza kwako au unamuachia alale nayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo Kali nimeipenda
 
Juzi kati Niko kwa mangi kuna jamaa akaja nakibegi chake anauza vocha za aina zote jumla nikadodosa nikaambiwa yeye anatembeza mji mzima anauzia maduka n.k dah hivi mabunda ya vocha huwa yanachukuliwa branch za mitandao au maana nimewaza jamaa anamake faida ndogondogo sana ila volume kubwa kuna MTU anaijua hii adadavue kiundani
 
mm daily nahakikisha nalaza ten through betting hapo nishatoa matumizi yangu
 
Ungemuuliza huyo jamaa angekupa majibu sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba upoje? Na boda anailaza kwako au unamuachia alale nayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba ni makabiziano tu kwamba umemkabizi dereva pikipki, kila siku ataleta kiasi fulani basi

Pikipiki anashinda na kulala nayo kama yake vile
Service ikitokea mnakutana mnarekebisha, kila baada ya siku 7 mnabadili oil na hapo ndio unapata wasaa wa kuikagua pikipiki pia

Kinachosumbua ni kwamba mtu akiwa na pikipiki anataka apewe hesabu na bado anataka amtumie dereva kwenye shughuli zake au atumie pikipiki yake

Ishi kiboss ukiamua ni pikipiki ya biashara acha ipige biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nilikua muoga zaidi yako

Jitoe tu, risk zipo kila sehemu

Nunua chombo utafute bodaboda mzoefu na anayeaminika kijuwe fulani mpe kazi akutafute dereva mzuri..usikurupuke
Mkataba wao na wewe upoje boss? Je boda umeifunga tracker incase ikiibiwa? Natamani kufanya hii ila napata ka uoga flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.... Mbona biashara hatari sana hiyo

Ubaya wa vocha ni kama sigara tu

Mzigo mwepesi lakini hela ndefu,

Watu wakimjulia maisha yake yatakuwa hatarini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.... Mbona biashara hatari sana hiyo

Ubaya wa vocha ni kama sigara tu

Mzigo mwepesi lakini hela ndefu,

Watu wakimjulia maisha yake yatakuwa hatarini

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya faida ndogo ukiwa na mzunguko mkubwa naona inalipa ila uvumilivu tu na mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…