Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 897
- 2,835
Shusha madini mkuu sasa ni inshu gani izoni udhaifu wa akili na mawazo kutoa 7m ili uingize 20k au 30k ni ujinga... wakati kipindi hicho wenzako wana mtaji wa 400k na kila siku wanakunja 250k kama faida