Mshika Tester
Member
- May 3, 2020
- 38
- 35
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k
Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu
Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.
Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.
WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA
UPDATES:
Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.
Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho
Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.
USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.
Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo
[/QUOTEUshauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...www.jamiiforums.com
asante sana
mkuu cha msingi weka iyo business idea hapa wenye kuchukua wachukue wenye kuacha waacheMzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.
Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.
Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.
Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
Mie nimeenda mpk kumuomba inboxx nmeambulia patupuuuuMzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.
Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.
Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.
Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
Mi nitachangia kwa namna ama nyingine biashala ambazo nimwahi kuzifanya na zikanitoa.Miaka miwili nyuma nilianza na biashala ya utumbo kipindi hicho nilikuwa nanunua utumbo wote ule mchanganyiko kwa elfu 48 unakuwa na na kilo 25 hadi 30 nilikuwa nauza kilo 3500 maeneo yaliyochangamka nilikua pale kipunguni b na nilikua nauza unauza mpk saa sita umeisha hiyo ni moja ya biashala ambayo kwa namna moja ama nyingine imenitoa kikubwa usikate tamaa tu
Kule machinjioni unakuta jamaa mwingine kaulundika baada ya kuchinjisha Ngombe wake hivyo anakuuzia wote kwa jumla unakua full kuanzia kitabu nk upo aina 3 unazikuta zote kwa namna moja huwa unalipa sana sema watu wengi huwa hawajuiDuh...kumbe utumbo wa ngombe mmoja unakilo nyingi hivi? Au ni utumbo wa ngmb wengi mkuu! Hongera sana mkuu...jumamos utumbo nimenunua 4000! Nilichoka mimi maana last tym ulikua 2000!
Ohoo...kwahyo wewe kwa kilo ni kama ulikua unanunua kwa shngap mkuu!Kule machinjioni unakuta jamaa mwingine kaulundika baada ya kuchinjisha Ngombe wake hivyo anakuuzia wote kwa jumla unakua full kuanzia kitabu nk upo aina 3 unazikuta zote kwa namna moja huwa unalipa sana sema watu wengi huwa hawajui
Ila kama kijana unatamani mafanikio ni vyema kama upo dar nenda kule pembezoni mwa mji unaweza kufungua biashala hata ya Nyama za kuku na ukajikuta kwa siku unakunja sh elfu 20 mana sisi ndio fulsa ambazo tuliziona na ni baada ya kusota sana halafu biashala ya mtaji wa sh elfu ukajikuta inakutoa ndio maajabu ya biashala
Nilikuwa nanunua kwa sh 1920 kama ni adimu na kama mwingi ilikuwa kama 1600 hivi mana nilikua nachukua kwa jumlaOhoo...kwahyo wewe kwa kilo ni kama ulikua unanunua kwa shngap mkuu!
Nilikuwa nanunua kwa sh 1920 kama ni adimu na kama mwingi ilikuwa kama 1600 hivi mana nilikua nachukua kwa jumla
Hapana niliachana nayo mana biashala ile niliifanya kibishi wale wa machinjioni kama sio kabila lao huwa wanasumbua sana ila kwa namna moja ama nyingine nimesogea hatua nyingi mbele kwa kweliYaani ni shilingi kwa shilingi! Naamini bado unaendelea nayo
Duh hatari sana ..kila la heri mkuu!Hapana niliachana nayo mana biashala ile niliifanya kibishi wale wa machinjioni kama sio kabila lao huwa wanasumbua sana ila kwa namna moja ama nyingine nimesogea hatua nyingi mbele kwa kweli
Achananae hana lolote,anataka kusujidiwa kwanza muongo haoni hata aibu ,nilichogundua anataka kila akicomment watu wareply kwenye comment yake.mpuuuzeni
Mkuu kila mkoa kuna fursa zake sasa nikikwambie business ambayo nafanya afu ukute ata mkoan kwako haipo mkuuWatz wengi wana hiyo roho mkuu.relax!mie ndo nilishindwa...riziki ya mtu kama ipo ipo tu
Mkuu kila mkoa kuna fursa zake sasa nikikwambie business ambayo nafanya afu ukute ata mkoan kwako haipo mkuu
C nmeona unasema et watz ndo tulivyo!?Mie ndo nimekuuliza??