Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k

Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu

Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.

Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.

WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA

UPDATES:

Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.

Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho

Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.

USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.

Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo

[/QUOTE



asante sana
 
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.

Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.

Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.

Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
mkuu cha msingi weka iyo business idea hapa wenye kuchukua wachukue wenye kuacha waache
 
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.

Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.

Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.

Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
Mie nimeenda mpk kumuomba inboxx nmeambulia patupuuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nitachangia kwa namna ama nyingine biashala ambazo nimwahi kuzifanya na zikanitoa.Miaka miwili nyuma nilianza na biashala ya utumbo kipindi hicho nilikuwa nanunua utumbo wote ule mchanganyiko kwa elfu 48 unakuwa na na kilo 25 hadi 30 nilikuwa nauza kilo 3500 maeneo yaliyochangamka nilikua pale kipunguni b na nilikua nauza unauza mpk saa sita umeisha hiyo ni moja ya biashala ambayo kwa namna moja ama nyingine imenitoa kikubwa usikate tamaa tu
 
Mi nitachangia kwa namna ama nyingine biashala ambazo nimwahi kuzifanya na zikanitoa.Miaka miwili nyuma nilianza na biashala ya utumbo kipindi hicho nilikuwa nanunua utumbo wote ule mchanganyiko kwa elfu 48 unakuwa na na kilo 25 hadi 30 nilikuwa nauza kilo 3500 maeneo yaliyochangamka nilikua pale kipunguni b na nilikua nauza unauza mpk saa sita umeisha hiyo ni moja ya biashala ambayo kwa namna moja ama nyingine imenitoa kikubwa usikate tamaa tu

Duh...kumbe utumbo wa ngombe mmoja unakilo nyingi hivi? Au ni utumbo wa ngmb wengi mkuu! Hongera sana mkuu...jumamos utumbo nimenunua 4000! Nilichoka mimi maana last tym ulikua 2000!
 
Ila kama kijana unatamani mafanikio ni vyema kama upo dar nenda kule pembezoni mwa mji unaweza kufungua biashala hata ya Nyama za kuku na ukajikuta kwa siku unakunja sh elfu 20 mana sisi ndio fulsa ambazo tuliziona na ni baada ya kusota sana halafu biashala ya mtaji wa sh elfu ukajikuta inakutoa ndio maajabu ya biashala
 
Duh...kumbe utumbo wa ngombe mmoja unakilo nyingi hivi? Au ni utumbo wa ngmb wengi mkuu! Hongera sana mkuu...jumamos utumbo nimenunua 4000! Nilichoka mimi maana last tym ulikua 2000!
Kule machinjioni unakuta jamaa mwingine kaulundika baada ya kuchinjisha Ngombe wake hivyo anakuuzia wote kwa jumla unakua full kuanzia kitabu nk upo aina 3 unazikuta zote kwa namna moja huwa unalipa sana sema watu wengi huwa hawajui
 
Kule machinjioni unakuta jamaa mwingine kaulundika baada ya kuchinjisha Ngombe wake hivyo anakuuzia wote kwa jumla unakua full kuanzia kitabu nk upo aina 3 unazikuta zote kwa namna moja huwa unalipa sana sema watu wengi huwa hawajui
Ohoo...kwahyo wewe kwa kilo ni kama ulikua unanunua kwa shngap mkuu!
 
Ila kama kijana unatamani mafanikio ni vyema kama upo dar nenda kule pembezoni mwa mji unaweza kufungua biashala hata ya Nyama za kuku na ukajikuta kwa siku unakunja sh elfu 20 mana sisi ndio fulsa ambazo tuliziona na ni baada ya kusota sana halafu biashala ya mtaji wa sh elfu ukajikuta inakutoa ndio maajabu ya biashala

Hii ndo maana halisi ya kutoka kwenye zone uliyoizoea!safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom