mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Mkuu mtaji wako umesimama kwenye sh. Ngap umenipa hasira sanaHapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Uishi mileleUzi bado unaishi huu
Ofisi iko wapi mkuu ?Ukihitaji huduma ya Ufundi wa computer nione!
Mkuu kwakuwa upo Mtwara spare /parts za Laptop/dektop unazipata wapi?Rudi Taratibu Kweny Game, Demand Ya Mafund Real Bado Kubwa Mtaani.
Nasubiri majibuMkuu kwakuwa upo Mtwara spare /parts za Laptop/dektop unazipata wapi?
Kama ni Dar
Inachukua muda gani kupata parts mfano kioo cha Laptop, keyboard n.k na kmfungia mteja na kukamilisha kazi yake ..
Na je gharama si zinakuwa kubwa kwa mteja kutokana na umbali wa kupata vifaa?
Kwa kufanya biashara gan mkuu mpaka unaingiza kias hicho cha pesa ?Kaka kwa bajaj hiyo hyo au
Mkuu naweza pata elimu ya hii forex tafadhali ... natamani sana kujaribu hii kituigihumbi, pForex najichagulia faida kila day
Usiishie kufuatilia tu acha kazi ujiajiri ufanye kwa vitendo πππUzi una madini sana huu, ahsante naendelea kufatilia
Iko vizuri lakini au ndio ishapigwa matunguli na waja πππWakuu nina biashara ya Chakula naiuza iko maeneo ya Chuo ,Nahamia makao makuu ya Nchi ....kwa mawasiliano zaidi check no. +255712971112
Kwa style hii utajikuta una mafriji, ma TV ma rice cooker πππ yani inakuwa vagarantMimi naona strategy nzuri n mkopaji kueeka bond mali yake yenye thaman mara mbili ya mkopo mfano akikopa laki moja basi aweke bond mali yenye thamani ya laki mbili. na kwny mkataba naand8ka kabisa ukifika mda afu ww hujalipa deni basi nauza mali yako without prior notice ili kufidia deni.
Nafikiri hi ni kote duniani; hakuna mfanya biashara atakae kwambia SIRI zake za biashara; HAKUNA.Hakuna mbongo wa kukushirikisha kitu kama hicho.
Mbongo Ni Mtu Mwenye Siri Sana Kwa Mambo Yanayompa Faida.
Ni Wasiri, Wabinafsi na Wanafiki Kupindukia.
Niache kazi? Huo mtaji ntaupata wapi wa kujiajiri sasaππUsiishie kufuatilia tu acha kazi ujiajiri ufanye kwa vitendo πππ
Kuna mtu aliwahi kukopesha kwa kuwekesha bond vitu dah alikua na mavitu kibao hadi akaanza kugawa tu watu hawalipiππKwa style hii utajikuta una mafriji, ma TV ma rice cooker πππ yani inakuwa vagarant
Watu hawalipi wanakujazia mizigo tuKuna mtu aliwahi kukopesha kwa kuwekesha bond vitu dah alikua na mavitu kibao hadi akaanza kugawa tu watu hawalipiππ
Hahahah si umeelewa somo ina maana bado hujasev hata kidogoNiache kazi ?, huo mtaji ntaupata wapi wa kujiajiri sasaππ
Yaani hela haikai Extrovert! Sijui nakwama wapiπ€Hahahah si umeelewa somo ina maana bado hujasev hata kidogo