Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

wanatoa asilimia fulani kwa mwaka kwa pesa unayoweka kwao ama hawatoi kabisa?
Pale unanunua vipande. (Units) ambazo unaweza kununua kutoka mifuko mbali mbali. Uzuri ni kwamba huwa vinapanda thamani. Ninachopenda ni kuwa ukihitaji fedha sio rahisi kuichukua utahitaji kuuza vipande ambayo itachukua wiki moja. Unaweza kupata tasrifa zao kupitia mitandao ya kijamii, au kufika ofisi yao iliyopo sukari house posta. UTT AMIS.
Uzuri mwingine unaweza kuweka kwa njia mbali mbali. Napiga picha kipeperushi ukione
 
IMG_20210619_070355.jpg
IMG_20210619_070447.jpg
IMG_20210619_070523.jpg
IMG_20210619_070714.jpg
IMG_20210619_070559.jpg
 
Pale unanunua vipande. (Units) ambazo unaweza kununua kutoka mifuko mbali mbali. Uzuri ni kwamba huwa vinapanda thamani. Ninachopenda ni kuwa ukihitaji fedha sio rahisi kuichukua utahitaji kuuza vipande ambayo itachukua wiki moja. Unaweza kupata tasrifa zao kupitia mitandao ya kijamii, au kufika ofisi yao iliyopo sukari house posta. UTT AMIS.
Uzuri mwingine unaweza kuweka kwa njia mbali mbali. Napiga picha kipeperushi ukione
Kwa hiyo kuna kupata na kukosa? Au investment ina kupata tu hiyo ka vile zile interest za bank ukiweka fixed?
 
Usiishie kufuatilia tu acha kazi ujiajiri ufanye kwa vitendo [emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kwamba aanze sasa kuyafanyia kazi hayo madini ....
 
wadau ivi nikweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu?
note: flash ambazo ni ORIGINAL.
mana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb ,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
mwenye kujua kiundani kuhusu hili wadau?
Hii iko nje ya mada. Nenda uzi husika
 
Namna ya kuuongeza. Toa asilimia kumi kila mwezi fungua akauti UTT AMIS weka pale. Ukiweka isahau. Fanya kama umenunua kiatu, au mchele ukala. Baada ya mwaka mmoja nitafute nitakwambia cha kufanya.
Naomba kueleweshwa ipi ni nzuri kati ya jikimu, wekeza na ukwasi??
 
Kwa hiyo kuna kupata na kukosa? Au investment ina kupata tu hiyo ka vile zile interest za bank ukiweka fixed?
Utasoma ripoti ya mwenendo wa vipande kwa zaidi ya miaka mitano na kujiridhisha kama thamani yake inapanda, inashuka au iko stable. Hii ni tofauti sana na kununua share kwenye soko la hisa.
 
Back
Top Bottom