Kama unakasirika sababu ya jambo moja kati ya haya fahamu wewe ni Mpumbavu kabisa

Well said
 
Kuna watu wanapenda ligi, yaani hata uki reack kwa ku dislike Anakasirika anaku quote ili akutukane,

Sent from My iPhone 16 Pro max, Nimeinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama.
Umeona eeh?
 
Kabisa. Biblia naijua vizuri na pia najua hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Kukasirika ni moja wapo ya sifa za ubinadamu na kiumbe yeyote hai, hasa pale unapo chokoza hisia zake, huwezi kukosa hasira alafu ujiite binadamu. Hata Mungu huwa ana kasirika mtu anapo kengeuka mafundisho yake na ndo maana atatoa adhabu kali kwa wasio mtii.
 
Sikai kimya na wala sikasiriki badala yake nakuombea:
"Ee Mungu mkumbuke SweetyCandy kwenye ufalme wako. Msaidie kuudhibiti ulimi wake usinene matusi. Maana watukanao hawataurithi ufalme wako. In Jesus' name, I pray, Amen."
Utapata wa kufanana naye heri wale wanahukumu wengine maana wataingia ufalme wao sio wa Mungu humjaji mtu mie sijakutukana nimekupa facts .
Jingine mke mwema hajufichi kwenye ngozi ya kondoo bali hukubali kukosea
 
Mwenzako kaja na gia zake
 
Hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu(Yak 1:20)
 
Utapata wa kufanana naye heri wale wanahukumu wengine maana wataingia ufalme wao sio wa Mungu humjaji mtu mie sijakutukana nimekupa facts .
Jingine mke mwema hajufichi kwenye ngozi ya kondoo bali hukubali kukosea
Umenichekesha: "wataingia ufalme wao ila sio wa Mungu..."

Usikasirike, SweetyCandy sijakuhukumu na wala sina uwezo huo. Mimi pia nimekupa facts kwamba nikitukanwa sikai kimya ila badala ya kukasirika na kujibu tusi kwa tusi namwombea aliyenitukana.
 
Juzi kati niliweka bandiko kuomba msaada account yangu ya whatspp business imefutwa na meta aissee Kuna member mmoja aliweka comment ya dhihaka ilahali hajui maumivu niliyonayo moyoni kuhusu iyo situation aisee mpaka Leo nikipitia machapisho yake namuona kama Nini vile. Any way ya hum unayaachia hum huwezi muwekea kisiriri mtu Ambae hata humjui ila ukweli roho/ utu mtu unapimwa kwa machapisho anayoyaweka, Kuna watu hum Wana roho mbaya sana harafu unakuta ni mwanamke mpaka unajiuliza haka kadem mbona kana roho ngum hivi?
 
Una shida kichwani
 
Pole, issac77, msamehe bure
 
Kuna button ya ignore list hapo juu kwenye profile yako.
Mtu akikukera bonyeza hapo hutamuona tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…