Kama unakasirika sababu ya jambo moja kati ya haya fahamu wewe ni Mpumbavu kabisa

Sema ndugu mwandishi picha ulizoamua kusindikizia uzi wako zimenifanya nipoteze kumbu kumbu za nilichotaka kuandika.
 
Ni Members wachache sana wenye Akili kubwa kama Wewe ndiyo tumekuelewa na kukubaliana nawe kwa 100% juu ya haya Maelezo yako ya uhakika juu ya Mjadala uliopo ila kwa Wapumbavu wengi waliopo na wengine nimeona pia Comments zao hawawezi Kukuelewa na naamini Hawajakuelewa pia.

Safi sana Mkuu.
 
Okay noted
 
Tate Mkuu mpokonye simu babe wako.
 
That's true,maana ni mtazamo tu ambao unaendana na hali ya mda husika,hata bosi ofisni unaweza shangaa anakufokea tena kwa jambo dogo tu,kumbe uenda na ye alifokewa na bosi wake,ni kama vile kiupepo kinapita nyakati fulani.
 
Hata wewe nakutilia shaka yawezekana akili yako sio nzuri kabisa una hasira za hapa na pale.
 
Tate Mkuu mpokonye simu babe wako.
Ohooh! Nahisi nimechelewa eti! Maana muda huu ndiyo narudi kutoka lindo. Halafu nimekuta kila kitu hapa nyumbani kimevurugika! Babe naye simuoni! Sijui ndiyo amewafuata hao wabaya wake huko waliko ili akawashushie kabisa na kichapo! 😱
 
Ohooh! Nahisi ndiyo narudi kutoka lindo muda huu. Nimekuta kila kitu kimeshaharibika! Babe naye simuoni! Sijui ndiyo amewafuata hao wabaya wake huko waliko ili akawashushie kabisa na kichapo! 😱
Babu ilikuaje ukafikiria kutumia hii font? Naona tokea ukiwa kijana unatumia.
 
Babe babe! Utaniua kwa presha! Haya maneno umeyatoa wapi, na jana tulishinda wote kanisani? 😩
 
Kuna watu humu wanadhani Jf ni yakwao pekeyao, ukiweka mada ya msingi wanaandika pumba, ukiwakosoa wanaanza dhihaka.

By the way wengi humu ni wazee na vibibi, kwahiyo lazima wawe na hasira zisizo na sababu za msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…