Kama unasafiri Kilometa zaidi ya 800 kwa basi wewe ni masikini tafuta hela

Kama unasafiri Kilometa zaidi ya 800 kwa basi wewe ni masikini tafuta hela

Ruvuma na Mtwara hatuna uwanja wa Ndege wa maana , kumbuka huku kuna uswahili na umaskini, huku hatusomi na wanetu wanaishia darasa la saba na kuozeshwa;Ndoa za utotoni zinaongoza huku,.
Hatuna utaratibu wa kurudi kwetu kama Wachagga , ndege itamleta nani?
Tulikubaliana Kagera ni maskini wa kutupwa...nyinyi si mpo top ten ya watu wenye vipato?

Bukoba kuna mashirika matatu ya ndege kila siku mengine mara mbili...lakini kadri ya serikali ndo sehemu yenye kipato kidogo kabisa..
 
Nafahamu taasisi nyingi tu zinazoeleweka staff wao hawawezi kusafiri from dar to mwanza kwa basi
Hatukatai lakini wataalam ni based na physic ya kucheza mpira sio lazima kama wewe ni mshabiki au mfanya biashara
 
Tulikubaliana Kagera ni maskini wa kutupwa...nyinyi si mpo top ten ya watu wenye vipato?

Bukoba kuna mashirika matatu ya ndege kila siku mengine mara mbili...lakini kadri ya serikali ndo sehemu yenye kipato kidogo kabisa..
Kweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini wa Bukoba.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar nayo yanawatumishi wanapanda ndege ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Wahaya pale mlimani[UDSM ] wapo kila department ila kwao toka wamalize sekondari hawajawahi kurudi.
 
Kweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Nje ya mada, ni PM hayo makampuni ya kahawa yenye makao makuu huko Daslam.
 
Kweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Sema yale mahekalu vijijini yanafichaficha umasikini wao ila wamechoka
 
Sema yale mahekalu vijijini yanafichaficha umasikini wao ila wamechoka
Tuwaseme akina Bashaija mpaka waanze utaratibu wa kurudi kwao.
Muda huu ukienda SAMAKI SAMAKI mlimani City wao ndio wamejaa wanapiga story zao walipokuwa Ulaya, ila sasa waambie kuhusu Bukoba stendi ni ya vumbi mpaka leo mtagombana.
 
Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Mtwara, Ruvuma

Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.

Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.

Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun

Tafuta hela
sawa tajiri la JF
 
Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Mtwara, Ruvuma

Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.

Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.

Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun

Tafuta hela
Sasa private car ina tofauti gani na basi? Ukiwa na private car utachoka sana kuendesha umbali huo. Hapo ni ndege tu

Ingawa kupanda basi sio kwamba umechoka kiuchumi ni njia ya kutalii pia kwa kuona maeneo tofauti tofauti.

Nitaenda Angola mwezi Disemba kwa ndege na nitarudi kwa basi kupitia South Africa Johannesburg. Nia ya kupanda basi ni kuziona vizuri nchi za kusini mwa Africa
 
Sasa private car ina tofauti gani na basi? Ukiwa na private car utachoka sana kuendesha umbali huo. Hapo ni ndege tu

Ingawa kupanda basi sio kwamba umechoka kiuchumi ni njia ya kutalii pia kwa kuona maeneo tofauti tofauti.

Nitaenda Angola mwezi Disemba kwa ndege na nitarudi kwa basi kupitia South Africa Johannesburg. Nia ya kupanda basi ni kuziona vizuri nchi za kusini mwa Africa
Ukisoma uzi mpaka mwisho utaona kuwa isipokuwa kwa malengo ya kutalii au kujifurahisha nafsi vinginevyo ni ugumu tu wa maisha
Private car inakusaidia kuigawa safari unaweza kuamua kulala njiani kama unajihisi uchovu ukaamka ukaendelea na safari
 
Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma

Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.

Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.

Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun

Tafuta hela
Watakupinga ila huu ni ukweli
 
Back
Top Bottom