Tulikubaliana Kagera ni maskini wa kutupwa...nyinyi si mpo top ten ya watu wenye vipato?Ruvuma na Mtwara hatuna uwanja wa Ndege wa maana , kumbuka huku kuna uswahili na umaskini, huku hatusomi na wanetu wanaishia darasa la saba na kuozeshwa;Ndoa za utotoni zinaongoza huku,.
Hatuna utaratibu wa kurudi kwetu kama Wachagga , ndege itamleta nani?
Ila haya maisha bhanaVipi madem wanaokula nauli unataka wale nauli za ndege?
Kweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .Tulikubaliana Kagera ni maskini wa kutupwa...nyinyi si mpo top ten ya watu wenye vipato?
Bukoba kuna mashirika matatu ya ndege kila siku mengine mara mbili...lakini kadri ya serikali ndo sehemu yenye kipato kidogo kabisa..
Nje ya mada, ni PM hayo makampuni ya kahawa yenye makao makuu huko Daslam.Kweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Sema yale mahekalu vijijini yanafichaficha umasikini wao ila wamechokaKweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Tuwaseme akina Bashaija mpaka waanze utaratibu wa kurudi kwao.Sema yale mahekalu vijijini yanafichaficha umasikini wao ila wamechoka
Mali za uchawi, zile za watu wa Njombe wanaobaka na ?Watu tunamiliki mali za kutosha na bado tunapanda basi kilomita 3000+ wee vip wewe
sawa tajiri la JFNi mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Mtwara, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Tajiri unalipa kodi au una bidii ya kukwepa kodi?Hakuna anayependa umasikini,tafuta hela inapatikana,acha kupanda kimbinyiko kwenda kwenu musoma
Sasa private car ina tofauti gani na basi? Ukiwa na private car utachoka sana kuendesha umbali huo. Hapo ni ndege tuNi mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Mtwara, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Ukisoma uzi mpaka mwisho utaona kuwa isipokuwa kwa malengo ya kutalii au kujifurahisha nafsi vinginevyo ni ugumu tu wa maishaSasa private car ina tofauti gani na basi? Ukiwa na private car utachoka sana kuendesha umbali huo. Hapo ni ndege tu
Ingawa kupanda basi sio kwamba umechoka kiuchumi ni njia ya kutalii pia kwa kuona maeneo tofauti tofauti.
Nitaenda Angola mwezi Disemba kwa ndege na nitarudi kwa basi kupitia South Africa Johannesburg. Nia ya kupanda basi ni kuziona vizuri nchi za kusini mwa Africa
Watakupinga ila huu ni ukweliNi mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Kwani kazi ya pesa ni nini? Nauli ni moja wapo ya matumizi labda kama unazo za mawazo.Vipi madem wanaokula nauli unataka wale nauli za ndege?