Nakazia hapaPrivate car na bus tofauti yake ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia hapaPrivate car na bus tofauti yake ipi
Labda kuuendeleza mji wa Bukoba sio huko vijijini...bukoba miundombinu yake ndo inarekebishwa sasa...wako wanapanua bandari, wanajenga barabara njia nne, wako wanapanua uwanja wa ndege , nk...so mji utakuwa super soonKweli ndege zinakwenda sana lakini robo tatu ya abiria ni wageni wa DFP .
MSF, US Aid na miradi ya ukimwi,
TASAF wanapaa kila uchao kugawa msaada kwa maskini.
Makampuni ya kahawa yenye makao Dar ;
Naufahamu mkoa hu maana nimekaa hapo mahakama kuu kipindi kirefu, ni maskini almost sawa na Mtwara, wahaya wakifika Dar hawarudi kwao na hawaendelezi.
Bukoba umeenda lini mzee?Tuwaseme akina Bashaija mpaka waanze utaratibu wa kurudi kwao.
Muda huu ukienda SAMAKI SAMAKI mlimani City wao ndio wamejaa wanapiga story zao walipokuwa Ulaya, ila sasa waambie kuhusu Bukoba stendi ni ya vumbi mpaka leo mtagombana.
Dar-Mtwara umetuongopea hazizidi hata 600km ni Kati ya 550-600 ni mwendo kama wa masaa8 tu kwa busNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Kuna Basi linatoka Dar Mpaka Johansburg southAfrica. mkuu unaaemaje kuhusu hiloNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
..kijana una hekma sana weweNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
bado ni umasikini tu tafuta hela pita juu!Kuna Basi linatoka Dar Mpaka Johansburg southAfrica. mkuu unaaemaje kuhusu hilo
😅😅😅bado ni umasikini tu tafuta hela pita juu!
ukijisikia kuchoka unatafuta hotel unapumzika kesho unaondoka hii ndo private car.. bus utakimbizwa hata kukata gogo mpaka konda apendePrivate car na bus tofauti yake ipi
sijachukia wahaya , nimekuwa na boyfriend zaidi ya mmoja kabla ya ndoa na wote walikuwa wahaya, mmoja alitokea kamachumu akiitwa kokusima na mwengine alitokea ipilimuloLabda kuuendeleza mji wa Bukoba sio huko vijijini...bukoba miundombinu yake ndo inarekebishwa sasa...wako wanapanua bandari, wanajenga barabara njia nne, wako wanapanua uwanja wa ndege , nk...so mji utakuwa super soon
Eti Tasaf, miradi ya ukimwi?
Mbona Iringa, njombe na Mbeya ndege haziendi kwa sana wakati kunaongoza ukimwi....
Mtu ukichukia watu unachukia hadi nyayo zao..
Tanzania ni nchi maskini. Wewe hizo hela unataka tutafute za nini? Na tuzipate kutoka wapi?Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Wahaya acheni makasiriko, nafikiri ni ushauri tu wa kupenda kwenu, hata mimi nimelipokea kwakweli kwetu ni maskini japo hapa mwanza ninaishi maisha ya kiunafki na kujifanya tajiri.Tanzania ni nchi maskini. Wewe hizo hela unataka tutafute za nini? Na tuzipate kutoka wapi?
Btw, hata tukisafiri kwa ndege, tunawahi ili iweje? Siku hata siku za kuishi ni zile zile, niwahi kufika niendako ili iweje!
Bila shaka wewe ni mnufaika wa DP WORLD ndio maana nyodo nyiingi. Hivi nchi yako ya Tz ni asilimia ngapi wanauwezo wa kupanda ndege. Ina maana unawaambia wa tz asilimia 99%Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Nyie ndio mjirekebishe, acheni kuishi maisha ya kitajiri kwenye nchi maskini.Wahaya acheni makasiriko, nafikiri ni ushauri tu wa kupenda kwenu, hata mimi nimelipokea kwakweli kwetu ni maskini japo hapa mwanza ninaishi maisha ya kiunafki na kujifanya tajiri.
huu uzi si wa kubeza, tujirekebishe, Wahaya, waha, Wabena-njimbe na wamachinga kwenu hakufai.
Sasa mimi mwenzio kila mwezi napiga route ya Songea to Kahama kwa hiyo nitakufa mapemaNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Mimi nimesoma Law miaka 4, nimesoma masters miaka 2 (miezi 18 uingereza), wacha seminari nilosoma hapo Mbeya/St Fransis nijibane maisha niishi sawa na Mzaramo anayepepea mabendera ya CCM kwenye nyumba ya udongo?Nyie ndio mjirekebishe, acheni kuishi maisha ya kitajiri kwenye nchi maskini.
Hakuna Basi linaloenda Mkoa wa Mara, bali kuna Basi kuelekea Musoma, Kigoma, Katavi, Mbeya, Arusha, Manyara etcHakuna Mkoa wa Musoma labda kama wewe siyo mtanzania
Tajiri akipanda basi kilometa hata 2000 ni starehe.Tulikuwa na event km 1200 kutoka hapa nilipo na ni jiji to jiji. Katika wahudhuriaji walikupo PHD holders na wote tulipanda basi. Sasa sijui na hawa ni masikini!