Boyfriend anaitwa kokusima?sijachukia wahaya , nimekuwa na boyfriend zaidi ya mmoja kabla ya ndoa na wote walikuwa wahaya, mmoja alitokea kamachumu akiitwa kokusima na mwengine alitokea ipilimulo
Njia nyeupe, hata haijazibwa. Pita kabisa uende. Nahisi unaenda kwa ndege pia.Hebu nipishe.
Ni kweli , kusafr huo umbali Kwa basi hamna kitu , ni kujitaftia matatizo tuu, hawa watu wajengewe SGR mapema Sana aiseeNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
mkuu usijali ndomaana ya third world,, kila kitu ni harakati.Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
hahaha kijana unaonekana ni mjuvi wa mamboNauli ya ndege haiwezi kuliwa labda uwe ndezi sana..ndege unatuma tiketi mkuu.
Demu yeyote akijifanya sijui hana nafasi kabanwa na kazi.
Fanya booking mtumie copy ya tiketi tayari nafasi imepatikana😂😂
unatania ama?Sasa mzee kutembea na bus au private car,
Mbona na bus ndo unaenjoy zaidi kuliko private car
Musoma kuna ndege zinatua?Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Shida za dunia tu mkuuhahaha kijana unaonekana ni mjuvi wa mambo
kubali tu mkuu, usiwe kama watu wengine mkikutana jioni anakuuliza vipi za mihangaiko?Shida za dunia tu mkuu
FIFA Walizingatia ushauri wa kitaalam
Nimekubali mkuu, mimi huwa situmii hiyo kauli, nakuuliza habari za kazi sio mihangaiko😂😂kubali tu mkuu, usiwe kama watu wengine mkikutana jioni anakuuliza vipi za mihangaiko?
Hadi nikue tena.Ukikua utaacha kuona hivyo