Kama unasafiri Kilometa zaidi ya 800 kwa basi wewe ni masikini tafuta hela

Kama unasafiri Kilometa zaidi ya 800 kwa basi wewe ni masikini tafuta hela

Umeshiba maharage ya wapi wewe. Kwa hiyo hata mabasi ya mikoani inabidi iwepo sheria ya km 800 unazozisema mbona kuna mengine yanakwenda Afrika Kusini sasa hao wanaosafiri na mabasi hayo utasemaje. Shibe mwana malevya kweli.
Malizia paragraph ya mwisho imeeleza labda iwe ni kwa case ya utalii au fun ila sio vinginevyo
 
Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma

Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.

Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.

Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun

Tafuta hela
Udukuzi umekushinda naona
 
Ndege bado na anasa nchi hii na usafiri wa treni za mwendokasi hakuna, tunajiishia tu.
 
Back
Top Bottom