Kama unatafuta nyumba ya kupanga DSM, kuna vitu vya kuzingatia usivichukulie poa!

Kama unatafuta nyumba ya kupanga DSM, kuna vitu vya kuzingatia usivichukulie poa!

Khah yaani mtu kahangaika kujenga kwa mamilioni wewe na 40,00 yako ndio ujifanye kupanga masharti ya asiishi na ndugu sake. Mjenge nyumba zenu mujue ugumu wa ujenzi. Kupanga kwa uswahili nibinafsi naona ni utumwa.
 
Yes...nilikuwa nataka nyumba kwa haraka na nilishachoka kuzunguka na madalali karibia weeek nzima nazunguka tu
Hapa natamani mtu tubadilishane
Mimi huwa nakikisha dalali nimempa sifa zote za nyumba ninazotaka.
Anipeleke kunionyesha nyumba yenye sifa nilizompa.
Tukifika mimi ni kuelewana na mwenye nyumba.
Hii huwa inanipunguzia usumbufu wa kuzunguka.
 
Khah yaani mtu kahangaika kujenga kwa mamilioni wewe na 40,00 yako ndio ujifanye kupanga masharti ya asiishi na ndugu sake. Mjenge nyumba zenu mujue ugumu wa ujenzi. Kupanga kwa uswahili nibinafsi naona ni utumwa.
Ile ni biashara sio hisani

Hata mabasi watu wamenunua kwa mamilioni.
Ili mimi na nauli yangu isiyozidi laki nasikilizwa nina taka nini.
Usiponisikiliza sipandi hilo gari.
 
Nyumba ninayokaa sasa hivi natamani iwe nyumba yangu ya mwisho ya kupanga,,nina amani na nyumba iko safi sana .
1.Waoangaji wa 4 kila mmoja anajitegemea umeme(mita kila mtu na yake),maji bure masaa 24,usafi elfu 3 kwa mwezi,choo self.

2.kuna fensi na uwanja mkubwa so ukiwa na usafiri unatosha kulaza gari 5.

3. Vyumba vikubwa sana na wapangaji tupo wa 4 tu na hakuna mwenye familia so muda wote ni kimya hakuna kelele.

4. Kodi bei chee na mwenye nyumba hana njaa hata kidogo.

5.Hakuna mahala panapovuja kiufupi nimeokota dodo kwenye mnazi.

6.Mwenye nyumba hakai hapa😁
 
Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.

Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.

Baadhi yake:

1. Usikae na mwenye nyumba.

Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.

Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.

2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.

Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.

Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.

Lazima mtagombana tu.

3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.

Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.

Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.

Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.


4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.

Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.

5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.


6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.

Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.

7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?

Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.

8. Kelele/mishemishe za majirani.

Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.

Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.

Edit:

9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.

Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .

Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
Hapo kwa kila mpangaji kupiga mziki wake, huyu singeli, Yule kwaya, na upuuzi, mwingine, ni balaa, hapa ninapoishi, kuna mmoja ikifika saa mbili usiku,anawasha subwoofer lake LA mchina,anapiga mziki mpaka saa 10asubuh,! Kuna siku ni me lala mapema, nikawa naota kama nafukuzwa na nguruwe poli, na, makelele Yao, nikashituka, kumbe Yule jirani anapiga mziki balaa, kama saa tano usiku, nilichomoka nikamgongea kwa hasira, ilikuwa kidogo nimpe kichwa cha USO,
 
Hapo kwa kila mpangaji kupiga mziki wake, huyu singeli, Yule kwaya, na upuuzi, mwingine, ni balaa, hapa ninapoishi, kuna mmoja ikifika saa mbili usiku,anawasha subwoofer lake LA mchina,anapiga mziki mpaka saa 10asubuh,! Kuna siku ni me lala mapema, nikawa naota kama nafukuzwa na nguruwe poli, na, makelele Yao, nikashituka, kumbe Yule jirani anapiga mziki balaa, kama saa tano usiku, nilichomoka nikamgongea kwa hasira, ilikuwa kidogo nimpe kichwa cha USO,
Hafu unakuta yeye amelala fresh kabisa na anakoroma.
 
Nyumba ninayokaa sasa hivi natamani iwe nyumba yangu ya mwisho ya kupanga,,nina amani na nyumba iko safi sana .
1.Waoangaji wa 4 kila mmoja anajitegemea umeme(mita kila mtu na yake),maji bure masaa 24,usafi elfu 3 kwa mwezi,choo self.

2.kuna fensi na uwanja mkubwa so ukiwa na usafiri unatosha kulaza gari 5.

3. Vyumba vikubwa sana na wapangaji tupo wa 4 tu na hakuna mwenye familia so muda wote ni kimya hakuna kelele.

4. Kodi bei chee na mwenye nyumba hana njaa hata kidogo.

5.Hakuna mahala panapovuja kiufupi nimeokota dodo kwenye mnazi.

6.Mwenye nyumba hakai hapa😁
Dah mkuu, nakushauri usiondoke hapo. Labda kuwe na sababu ya ulazima sana maana utakapoenda utajuta
 
Ile ni biashara sio hisani

Hata mabasi watu wamenunua kwa mamilioni.
Ili mimi na nauli yangu isiyozidi laki nasikilizwa nina taka nini.
Usiponisikiliza sipandi hilo gari.
Usikilizwe kwa uzinzi utie mikosi nyumba za watu? Au upige mikelele na misub wofer usiku kucha?. Mnaolalamika sasa ni sale msio na HeLa mnazikimbia nyumba zinazoendeshwa hasa kibiashara. Mkikosa Kodi mnataka msikilizwe na hapo mnasahau kuwa nyumba za watu ni biashara.
 
Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.

Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.

Baadhi yake:

1. Usikae na mwenye nyumba.

Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.

Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.

2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.

Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.

Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.

Lazima mtagombana tu.

3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.

Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.

Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.

Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.


4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.

Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.

5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.


6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.

Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.

7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?

Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.

8. Kelele/mishemishe za majirani.

Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.

Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.

Edit:

9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.

Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .

Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
Dah
 
Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.

Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.

Baadhi yake:

1. Usikae na mwenye nyumba.

Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.

Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.

2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.

Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.

Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.

Lazima mtagombana tu.

3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.

Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.

Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.

Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.


4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.

Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.

5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.


6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.

Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.

7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?

Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.

8. Kelele/mishemishe za majirani.

Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.

Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.

Edit:

9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.

Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .

Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
Nimeshayatimba leo leo tu
 
Dah mkuu, nakushauri usiondoke hapo. Labda kuwe na sababu ya ulazima sana maana utakapoenda utajuta
Hapa siondoki aisee kwanza hata rafiki zangu wakija wanasema mtu akihama niwashtue.

Kuna jamaa alihama mwezi wa 4 now anapiga simu kunikumbusha mtu akitoka ili arudi ,mwenye nyumba huyu ni muungwana na hategemei kodi.

Nilihamia mwaka jana mwezi wa 7 lakini kodi inaisha najikuta siko poa ajabu hutaona simu yake wala sms kuuliza kodi ,hata kodi ninayotumia sasa nilikaa miezi miwili kodi ikiwa imeisha na wala sijatumiwa ujumbe wala sms ajabu nimelipa baada ya siku 49 lakini mkataba akaanzia mwezi mmoja nikashaangaa nilijua labda kakosea nikamvutia waya akasema nitulie wala hakuna shida ndo kuna jamaa akanisanua mzee hana noma.

SIHAMIIIII HAPA
 
Back
Top Bottom