Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ulituangusha sana Wajuba wenzakoUtomboy unaanzaga hvyo hvyo
Kuna binti alikuwa anavaa kiume afu anaenda disco anaanza kutongoza mademu wenzie akawa anafurah kuwaona wanavyotulia kumsikiliza
Nilienda chuo nikawa nasoma na madogo niliowazid miaka kama 10+ sasa kikatokea kibinti kidogo kiumri na kimwili kakanizoea sana kakawa kanakaa na mimi, siku moja kakaniambia kananipenda na brabra kadhaa hadi nilishangaa niliishia kukasapoti tu ila sikukamega
Karibu naishi jirani tu na hapoWao nilitaman kuja huko katavi national park
Jinga sana[emoji23][emoji23][emoji23]Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Nakazia hata asipokazia 😂Heeee mbona anafeli mapema jamani🤣🤣
Ye ndio alitakiwa akutoe out asimamie show
Unique Flower shoga unakimbiza ndege ujue
sema wanaume hatuwezi kataa labda ujue kama ni umeme huyo mtuKasema akitongozwa hajui kukataa
Afute hyo kauli banaNakazia hata asipokazia 😂
Naanzaje kukuacha sasa!!Siunataka kuniacha, naishi ishi ishije bila ya wewe..
My everything
🤣🤣🙌sio mtutongoze tu, mtupe pia....
na sisi mtufanyie hit and run, hatutolalamika😁
Kashayumba hayupo siriaz naona anataka tu kunichezea moyo wangu 😂Afute hyo kauli bana
Nikija nitakutagKaribu naishi jirani tu na hapo
Sawa karibu sanaNikija nitakutag
Mamy K huwa ananifurahisha sana, wa moto sana. Vibe ipo juu, alafu muda wowote anabadilika[emoji23]Huyu atakuwa odo [emoji23][emoji23]
njoo univue boksa afu uniache
Nilishaanza kuona aibu, hapa nikageuza hadi simu[emoji23]. Nikajua mambo ndio tayariNdo maana nakupenda Kaka ake[emoji8] (sijakutongoza hapo)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No angekuja ningempa hug la joto angelipaHeeee mbona anafeli mapema jamani🤣🤣
Ye ndio alitakiwa akutoe out asimamie show
Unique Flower shoga unakimbiza ndege ujue
Leta sound hizo, kama nazuga hivi alafu nakubali fasta[emoji23]Wewe maharage ya Mbeya maji mara moja sithubutu!!!
Kabla sijamaliza ushaniweka cha mende [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafikia wapi??Sawa karibu sana
Mama K na kyuti wana undugu, wapo na vibe la kutosha muda wote. Hakuna kukunja[emoji23][emoji23]Mama K utakuwa una udugu na kyuti wa Countrywide [emoji23][emoji23][emoji23]
Mna sehemu yenu special[emoji23], itabidi nifanye juu chini niwakutanishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Cute ni virgo mwenzangu.....we are inborn craizyyyy.....