Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Muhimu ukubali, hayo ya pesa yanazungumzika[emoji23]

Umenikumbusha mwanzo kabisa humu jf kuna mtu nilikuwa namtania kwenye comments si akanifata pm akajua niko serious [emoji1787]

Nilivyomwambia nilikuwa nakutania alinichamba sina hamu!![emoji119]
Eti “Ukome kunibebisha kama unajua hauko serious” [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbe kuna watu huwa wanaangalia watu machoni?
Binafsi siwezi, wakati wa kukua niligombezwa sana niache ila ilishindikana.
Awe mwanaume awe mwanamke, sitazami mtu machoni mimi.
Sasa wewe utamkabili kivipi mtu ?
 
Unafanya masihara na genye. Alikua anajua umeshajaa alafu unaleta mizinguo[emoji23]
 
tulikuwa tukienda direct, sentensi baada ya sentensi and very bold mpaka mkaka anashindwa to control the discussion, tulikuwa hatuachi nafasi ya mkaka to took the control
Walikua wazembe sana. Unanitongoza hapo hapo naomba mbususu chap
 
Alikuwaje, kwani ni lazima ujenge kibanda,
 
Hua nikifikiri najikuta nabaki kucheka
 
tulikuwa tukienda direct, sentensi baada ya sentensi and very bold mpaka mkaka anashindwa to control the discussion, tulikuwa hatuachi nafasi ya mkaka to took the control
Unajipa moyo tu ww,Walikuwa sio mabaharia.Mwanaume hatongozwi kirahisi hivyo...Sana sana utaumia tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…