Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Mlikuwa mnakutana na madomo zege bila shaka ama mazingira hayakuwa rafiki kwa faragha.

Unakutana na mtu kapombeka kiasi unamletea hizo pigo anakuinamisha chap au anapima SAE4O ama anakupa mate kwa spidi ya light.
 
Alikuwaje, kwani ni lazima ujenge kibanda,
Dah mambo ya hit and run siwezagi. Nikianzisha mahusiano hua na target mbali sana.

Sasa yule feminist mdau wa 50/50 ningemkubalia na hisia zinge-click fikiria tabu ambazo ningezipata hivi sasa. Uamuzi sahihi kwangu ulikua kumtema mazima bila kumla.
 
tulikuwa tukienda direct, sentensi baada ya sentensi and very bold mpaka mkaka anashindwa to control the discussion, tulikuwa hatuachi nafasi ya mkaka to took the control
Ulifanikiwa kuwapata wangapi!
 
Mlikuwa mnakutana na madomo zege bila shaka ama mazingira hayakuwa rafiki kwa faragha.

Unakutana na mtu kapombeka kiasi unamletea hizo pigo anakuinamisha chap au anapima SAE4O ama anakupa mate kwa spidi ya light.
Hamna mwenye huo ujasiri hata kama kichaa.....ukijifanya kufungua kifungo kwa shati lako anahema utadhani unamlisha sumu
 
Mimi enzi zile alijitongozesha mmoja , nikatafuna sana... Kumbe lengo lake ilikuwa Ndoa😠... Nikamtifulia Vumbi la Kasulu!
 
Mwanaume atongozwe na mwanamke hlf ababaike au kujiuma uma, basi huyo siyo Mwanaume kamili
 
Hapo kwenye "brabra" unamaanisha nini muhishimiwa?
 
Huo mzaha kweli wanaangalia na watu wa kuwaletea ambao ni mandezi mimi sina tofauti na huyo mdau hapo juu tena muda wote natembea na kondomu ukijilengesha tu natomba na hua siangalii sura cha muhimu papuchi ina utelezi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…