Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Dah mambo ya hit and run siwezagi. Nikianzisha mahusiano hua na target mbali sana.

Sasa yule feminist mdau wa 50/50 ningemkubalia na hisia zinge-click fikiria tabu ambazo ningezipata hivi sasa. Uamuzi sahihi kwangu ulikua kumtema mazima bila kumla.
Dah, utateseka maana maisha hayako fair kiasi hicho, mimi hao ndio nawapenda nipige na kusepa. Napiga.halafu na angalia.uana harakati wake nachekea pembeni.
 
Nakumbuka wakat ule daah 😁 nlkuwa nacheka tu mm kidada kitaongea vyte ila mm nacheka tu, jbu la mwsho huwa n ucwazeeh, ila kibaya sjawah tongozwa na mdada nkampenda kiukwel ukwel mara nyng huwa wanaishia kuumia tu ingaw bdo wananpenda had kesho.
 
Kaskazini kwa matom boys ...😂😂😂Nimesoma nayo sana ni mtandaoni ila live hayana hizo beat yaani kama wanawake tu wa kwaida .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…