National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
vijana hawana maana 😅😅National Anthem nilijua hufanyi unaogopa kupigwa na vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vijana hawana maana 😅😅National Anthem nilijua hufanyi unaogopa kupigwa na vijana
Eti ehvijana hawana maana 😅😅
Kumbe ni enzi za zamani watu walikuwa na aibu na maadili, lakini jaribu sasahivi uone, hujamazilia kuongea, unajikuta ushavuliwa chupi.Angezimia yaan tena umpe hii akiwa NOTES BOARD kumejaa watu wameshonana kusoma ratiba kipindi kile kabla ya kizazi cha ratiba online....enzi zetu
Kama hakuvutii je, unakwama kijana.Ni upumbavu kutongozwa na mwanamke halafu ukakataa.
Mwanamke akikutongoza unapaswa ukubal bila kumuonesha mashaka ya mtongozo wake.
Mengine yatajulikana baadae.
Jinsia yako tafadhali.Kumbe kuna watu huwa wanaangalia watu machoni?
Binafsi siwezi, wakati wa kukua niligombezwa sana niache ila ilishindikana.
Awe mwanaume awe mwanamke, sitazami mtu machoni mimi.
They....Jinsia yako tafadhali.
Ukisusa utelelezi wanasema huna Nguvu za kiume[emoji4]Mwanaume unaachaje utelezi [emoji23]
Mzidi kutusitiri tu hakuna namna. Nawewe umewahi tongoza?
Wajanja sana hao wakiamua jambo lao kukataa ni ngumu sanaUkisusa utelelezi wanasema huna Nguvu za kiume[emoji4]
Ni ID yangu tokea 2010 nlipojiunga jfHiyo sentensi yako ya mwazo hapo juu ina lengo gani hasa?
Kiukweli kuikataa mbususu Ni kipengele Sana, tunajipa Moyo unapiga kimojacha heshima unasepa[emoji4]Wajanja sana hao wakiamua jambo lao kukataa ni ngumu sana
Na ukiikataa kuna siku utaikumbuka tuKiukweli kuikataa mbususu Ni kipengele Sana, tunajipa Moyo unapiga kimojacha heshima unasepa[emoji4]
sentensi hii "Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga" ndio ID yako?Ni ID yangu tokea 2010 nlipojiunga jf
you dealt with few ignorant...uka-sum up kuwa wote wako hivyoHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya. Tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie.
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu!
(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : Ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko nje, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea).
Umejuaje kama Mimi ni mwanasayansi?S
Sawa Albert Eistein
kwahiyo ulivyowakataa umeshakuwq tajiri namba moja duniani??Nishawakataa wadada zaidi ya wawili waliokuja kunitongoza. Hii kitu kipo.
Sikuweka focus kubwa sana kwenye mahusiano, niliwaona kama wataharibu malengo yangu.
Nimekuwa mtu mwenye high self esteem.kwahiyo ulivyowakataa umeshakuwq tajiri namba moja duniani??