makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sikutishi,kanunue tu sanda uje unizike, kwani shida nini?Usinitishee🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutishi,kanunue tu sanda uje unizike, kwani shida nini?Usinitishee🤣🤣🤣
We unaonekana hutaniwi akuu🤣jaribu hapa kwa mshamba😅
Nakumbuka ulisema una vitu vingi sana!! Kweli leo nimeviona 😂😂😂Maswali ya msingi, kwanini nimkatalie mrembo wa watu,
Nikimkatalia nafaidika na nini..
Nikiwaza hivyo tu, namkubalia.
🤣🤣
Nimeona 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Cute ni virgo mwenzangu.....we are inborn craizyyyy.....
Nipo bestie aje tu labda yupo weekend anakunywa supu ya pweza
Akina nani hao wenye bahati zaoJf nawish kuwajua wawili tu huenda akawa ni miongoni mwao 😎
Half american haya unaitwaNipo bestie aje tu labda yupo weekend anakunywa supu ya pweza
siwataji yawezekana na wewe pia umoAkina nani hao wenye bahati zao
Supu ya pweza nimestop kwanzaNipo bestie aje tu labda yupo weekend anakunywa supu ya pweza
Kwanza hujatoa ushuhuda ulivyopigwa sound ilikuaje
Yeye tuHalf american haya unaitwa
Ewa umekuja jamani nasikia mkitongozwagwa mnakuwa kama watoto wa darasa la tatu sasa m8e nakutongoza tuone kama utang'ata kucha au nguosiwataji yawezekana na wewe pia umo
Unique Flower kazi kwakoYeye tu
🤣🤣🤣Nakumbuka ulisema una vitu vingi sana!! Kweli leo nimeviona 😂😂😂
Hutaki kukibana kitaliwa na nyenyere
nilipigwaga sound na housegirl yeye ndo 'alinitoa ushamba' kwa mara ya kwanzaKwanza hujatoa ushuhuda ulivyopigwa sound ilikuaje
Au na wewe uliuma vidole
Why jamaniSupu ya pweza nimestop kwanza
Anakulipa sio ?😅😝Unique Flower kazi kwako