Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Haya piga kabla ya dakika 45.Eh kwanini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya piga kabla ya dakika 45.Eh kwanini
Rangi ipi tena 😂Half american kwanini umepewa uzuri kutoka kwa mama na haupo romantic nahiyo colour yako special
Kazia tu 😎Me nakaziaaaaaa
UnaijuaRangi ipi tena 😂
😂kashazinguaUshafeli
Mbona ni mbaya sanaUnaijua
Lenie huyu hayupo sexy whyKazia tu 😎
😂 pambania kombe unadhani sisi huwa tunafanya kazi ndogo mpaka pisi ielewe?Lenie huyu hayupo sexy why
njoo unitongoze mm tafadhalHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Namba zangu zipo kati ya 1234567890Mpigie simu muyajenge vizuri
WachaaNamba zangu zipo kati ya 123456790
Ndio 😅Wachaa
🤣🤣🤣 Nmechekaaa, siongezi neno.....kwakweli kumtongoza mwanaume inachekesha mnotulikuwa tukifanya kama namna yetu ya to relax, nilikuwa namkaba mwanaume sentensi baada ya sentensi mpaka unamwona mapigo ya moyo yanamwenda kasi.
Kanunue wewe unaetaka mie nikufeKanunue mwenyewe.
Acha usanii😂Namba zangu zipo kati ya 1234567890
Aumize kichwa kama ananipenda kweliAcha usanii😂