farfat
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 258
- 498
Sijakuambia nimejenga nyumba ya million 50 soma vzr nimekuambia nyumba ninayoishi ni ya ndoto zako nnje na ninayojenga ni ya kawaida kulinganisha na namna unavyotuchukulia boda boda kama unaona ni kazi ya laana niambie kazi isiyo na laana pia mimi nafanya bolt nina jeuri ya kukuambia hivo coz hujui siri ya mchezo lkn pia nina kijiwe kariakoo maeneo ya agrey na ndanda.. haya unasemajeHakuna kitu kama hiko hakuna Bodaboda anaeweza kujenga ya 30m kama Kuna Bodaboda unamjua kajenga nyumba ya 30m aje hapa nimpe 500k cash