- Thread starter
- #41
Hauitaji mtaji kufanya kazi ya madini.Huyo mfanya biashara wa madini alianzia wapi!!?Hadi akapata mtaji!!?au pesa za urithi !!?
Tumia akili Fanya kazi yenye possibility kubwa ya kufanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauitaji mtaji kufanya kazi ya madini.Huyo mfanya biashara wa madini alianzia wapi!!?Hadi akapata mtaji!!?au pesa za urithi !!?
Muongo mkubwa ungekuwa umeacha kazi ya Bodaboda ndani ya mwaka tu. Aibu ni kwamba Huna hata akiba ya buku TanoMimi boda boda kwa siku sikosi 700,000
Mo dewj ni big seller wa Bodaboda boxerUnataka kusema IGP ni masikini??
Mmekalili eeeh
😅😅😅 uache kitu kinachokuingizia pesa?Muongo mkubwa ungekuwa umeacha kazi ya Bodaboda ndani ya mwaka tu. Aibu ni kwamba Huna hata akiba ya buku Tano
Tayari akili Yako IPO limited nakuonea huruam sana ukiona biashara inaenda jitahidi kupanua wigo Sasa wewe unaona ushatoboa wakati unakufa anytime😅😅😅 uache kitu kinachokuingizia pesa?
If you can't stand the heat get out from the kitchen.Huu UHURU wa kila mtu kujiandikia kila anachojisikia bila ya admins kufanyia censorship threads za aina hii, soon Jukwaa hili La JamiiForums linaenda kuwa moja ya Jukwaa linalochochea kwa Kasi watu kupata magonjwa ya akili ya Aina ya contents zinazoachiwa Ku trend na hazina msingi wowote katika kujenga Jamii iliyo Bora.
Uongozi wa JF huu UHURU Jaribuni kuupunguza tafadhalini Sana.
Cc. JamiiForums , Maxence Melo
Mwalimu anayelipwa take home 800,000/- ana maendeleo kukuzidi kwa sababu anaweza kukopa hata 30m,Mtoa mada Huna akili narudia tena kusema Huna akili.. usiiishi kwa mazoea mimi ni boda boda na nina uhakika kabisa hunipati kipato changu cha mwezi wala maisha ninayoishi bro sijui dada.. usikalili pesa ninayoingiza kwa siku ni 50000 kwa wiki ni 350000 na kwa mwezi ni 10400000 we unalipwa bei gan kwa mwezi tuanzie hapo
Kuna mtu Ni mwalimu kajiajiri kafungua tuition Mwenge anapata hata 1 million kwa mwezi....Nakumbuka kipindi nipo form six...kipindi Cha likizo Kuna jamaa topic ya organic chemistryHapo umezungumzia kazi za watu wa makundi mawili, waajiriwa na vibarua.
Waajiriwa ni POLISI, na WAALIMU. Hawa sasa ndio ujumbe huu unawahusu kwa asilimia kubwa.
Lakini hao wengine ni vibarua ambao wanaweza wakawa wanafanya hiyo kazi kwaajili tu ya kupata mtaji kisha wanaweza kuacha.
Na pia sipingani na wewe bali nimefafanua tu kwa ziada.
Ila uvuvi wapo wanapata hela nzuri mzeeKuna kazi ukifanya automatically unajiweka kwenye Giza la umasikini na kufanikiwa inakuwa ngumu, binafsi nimefanya kazi hizo najua mfano uvivu mtu anaiishi ili ale tu hakuna kingine
Aliyesema nimetoboa ninani? Je nani hata kufa? Bodaboda ukiifanya sehemu nzuri kama Dar hukosi laki 7 kwa sikuTayari akili Yako IPO limited nakuonea huruam sana ukiona biashara inaenda jitahidi kupanua wigo Sasa wewe unaona ushatoboa wakati unakufa anytime
Laki7? Hela nyingiMimi boda boda kwa siku sikosi 700,000
2 pac na khadafi hahaIf Money was an artist, It would have written us a worse diss track than 2pac's hit em up.
Ndio mkuuLaki7? Hela nyingi
Mimi nimefanya uvuvi najua mvuvi anaweza pata buku mbili mbili mwezi mzimaIla uvuvi wapo wanapata hela nzuri mzee
Unataka ujenge magorofa ya kazi gani?mfano uvivu mtu anaiishi ili ale tu hakuna kingine
Kujenga Ni hatua nzuri mzee mtu anapewa na pongezi kabisaBado akili huna akili Yako tayari IPO limited unadhani kujenga ndio kufanikiwa kupata 50k ndio utajiri