Sijakuambia nimejenga nyumba ya million 50 soma vzr nimekuambia nyumba ninayoishi ni ya ndoto zako nnje na ninayojenga ni ya kawaida kulinganisha na namna unavyotuchukulia boda boda kama unaona ni kazi ya laana niambie kazi isiyo na laana pia mimi nafanya bolt nina jeuri ya kukuambia hivo coz hujui siri ya mchezo lkn pia nina kijiwe kariakoo maeneo ya agrey na ndanda.. haya unasemajeHakuna kitu kama hiko hakuna Bodaboda anaeweza kujenga ya 30m kama Kuna Bodaboda unamjua kajenga nyumba ya 30m aje hapa nimpe 500k cash
Najibu according to reaction yake ukichunguza maneno niliomwambia na yeye ndio ametumiaMatusi Tena!!? Ukimjibu kwa ustaarabu unapungukiwa nini?
Labda tumetofautiana malezi na mitaa tuliyokulia,siwezi mtukana mtu kiukweli.
Nimejenga chumba na sebule kwa hiyo bodaboda unayoidhalau kaka alafu pia nimejenga buza sio bunju wala kisemvule tuheshimiane maisha ni bahati piaWewe ni mpumbavu mkubwa kabisa, kazi ya Bodaboda naijua nimefanya zaidi ya miaka 3 huwezi kunidanganya kitu, niambie unafanya wapi?
Ili kuonesha Huna akili kama umeingiza 50k per day kwa mwaka lazima ungekuwa na biashara ingine ila kwakuwa kazi unayofanya ina laaana hujawaza nje ya box.
Wewe ni muongo na mpumbavu mkubwa
Bado akili huna akili Yako tayari IPO limited unadhani kujenga ndio kufanikiwa kupata 50k ndio utajiriSijakuambia nimejenga nyumba ya million 50 soma vzr nimekuambia nyumba ninayoishi ni ya ndoto zako nnje na ninayojenga ni ya kawaida kulinganisha na namna unavyotuchukulia boda boda kama unaona ni kazi ya laana niambie kazi isiyo na laana pia mimi nafanya bolt nina jeuri ya kukuambia hivo coz hujui siri ya mchezo lkn pia nina kijiwe kariakoo maeneo ya agrey na ndanda.. haya unasemaje
Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba biashara ambayo tayari ilishatoa billionaire au mamilionea kadhaa huwa ni ngumu sana kukufanya wewe unaeenda kuanza wakati ambao malango yake tayari yameharibika kuwa millionaire.Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Hahahaha unajua maana ya mafanikio??? Maisha Yako kula mpaka uende barabarani.Nimejenga chumba na sebule kwa hiyo bodaboda unayoidhalau kaka alafu pia nimejenga buza sio bunju wala kisemvule tuheshimiane maisha ni bahati pia
Kipimo cha kufanikiwa ni nini?Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants
Kukaa kimya ni jibu zuri Sana kwa mtu anayekukera ndugu, hakikisha uchumi dhambi bila sababu.Najibu according to reaction yake ukichunguza maneno niliomwambia na yeye ndio ametumia
Kila mtu anapo ongelea mafanikio anaongea kwa kile alicho kiona au kukisikia huenda wewe uliona au ulisikia bodaboda, wavuvi, zege nk hawafanikiwi ila kuna mwingine amesha shuhudia bodaboda zege wavuvi wana maisha mazuri au kusikia hilo so..Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants
Masikini akipata Matako hulia mbwata.......Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants
Sahihi mkuu, Kuna kazi ukifanya possibility ya kufanikiwa inapunguaUna point ila wengi watakubeza
Tafsiri ya kuinuka kiuchumi ni ipi hasa!!?Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants
Huu ni mfano wa waziWalinzi wa kampuni binafsi.ukikuta mlinzi wa kampuni binafsi anamiliki hata bodaboda jua ni mwizi au anacheza biashara chafu na wakubwa sehemu anayolinda.kikubwa walinzi ni maskini sana kushindia mihogo ya jero na maji ya bomba lindoni ni kawaida tu na nyumbani akirudi anakula ugali na matembele kama mbuzi
Bodaboda kanunua V8 kwa pesa alioipata kwa Bodaboda??Tafsiri ya kuinuka kiuchumi ni ipi hasa!!?
Kanuni ya kuinuka kiuchumi Haina kanuni Rasmi ambayo mtu anaweza kukariri!!
Hao hao uliowataja wapo waliofanikiwa sana maishani kiuchumi !!
Huyo mfanya biashara wa madini alianzia wapi!!?Hadi akapata mtaji!!?au pesa za urithi !!?Bodaboda kanunua V8 kwa pesa alioipata kwa Bodaboda??
Ila ni rahisi mfanyakazi wa madini kununua V8 haijalishi mtaji wake