Kama unataka kufanikiwa kweye maisha, acha kufanya kazi za kimasikini zenye asili ya kimasikini.

Hakuna kitu kama hiko hakuna Bodaboda anaeweza kujenga ya 30m kama Kuna Bodaboda unamjua kajenga nyumba ya 30m aje hapa nimpe 500k cash
Sijakuambia nimejenga nyumba ya million 50 soma vzr nimekuambia nyumba ninayoishi ni ya ndoto zako nnje na ninayojenga ni ya kawaida kulinganisha na namna unavyotuchukulia boda boda kama unaona ni kazi ya laana niambie kazi isiyo na laana pia mimi nafanya bolt nina jeuri ya kukuambia hivo coz hujui siri ya mchezo lkn pia nina kijiwe kariakoo maeneo ya agrey na ndanda.. haya unasemaje
 
Nimejenga chumba na sebule kwa hiyo bodaboda unayoidhalau kaka alafu pia nimejenga buza sio bunju wala kisemvule tuheshimiane maisha ni bahati pia
 
Bado akili huna akili Yako tayari IPO limited unadhani kujenga ndio kufanikiwa kupata 50k ndio utajiri
 
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba biashara ambayo tayari ilishatoa billionaire au mamilionea kadhaa huwa ni ngumu sana kukufanya wewe unaeenda kuanza wakati ambao malango yake tayari yameharibika kuwa millionaire.
 
Nimejenga chumba na sebule kwa hiyo bodaboda unayoidhalau kaka alafu pia nimejenga buza sio bunju wala kisemvule tuheshimiane maisha ni bahati pia
Hahahaha unajua maana ya mafanikio??? Maisha Yako kula mpaka uende barabarani.
Bado sana
 
Kipimo cha kufanikiwa ni nini?
 
Kila mtu anapo ongelea mafanikio anaongea kwa kile alicho kiona au kukisikia huenda wewe uliona au ulisikia bodaboda, wavuvi, zege nk hawafanikiwi ila kuna mwingine amesha shuhudia bodaboda zege wavuvi wana maisha mazuri au kusikia hilo so..

kila mtu ana njia yake ya mafanikio wewe utabeba zege usifanikiwe mwingine atabeba zege na akafanikiwa

Pigeni kazi viongozi mafanikio yanakuja
 
Huu UHURU wa kila mtu kujiandikia kila anachojisikia bila ya admins kufanyia censorship threads za aina hii, soon Jukwaa hili La JamiiForums linaenda kuwa moja ya Jukwaa linalochochea kwa Kasi watu kupata magonjwa ya akili ya Aina ya contents zinazoachiwa Ku trend na hazina msingi wowote katika kujenga Jamii iliyo Bora.

Uongozi wa JF huu UHURU Jaribuni kuupunguza tafadhalini Sana.

Cc. JamiiForums , Maxence Melo
 
Masikini akipata Matako hulia mbwata.......
 
Tafsiri ya kuinuka kiuchumi ni ipi hasa!!?

Kanuni ya kuinuka kiuchumi Haina kanuni Rasmi ambayo mtu anaweza kukariri!!

Hao hao uliowataja wapo waliofanikiwa sana maishani kiuchumi !!
 
Walinzi wa kampuni binafsi.ukikuta mlinzi wa kampuni binafsi anamiliki hata bodaboda jua ni mwizi au anacheza biashara chafu na wakubwa sehemu anayolinda.kikubwa walinzi ni maskini sana kushindia mihogo ya jero na maji ya bomba lindoni ni kawaida tu na nyumbani akirudi anakula ugali na matembele kama mbuzi
 
Huu ni mfano wa wazi
 
Tafsiri ya kuinuka kiuchumi ni ipi hasa!!?

Kanuni ya kuinuka kiuchumi Haina kanuni Rasmi ambayo mtu anaweza kukariri!!

Hao hao uliowataja wapo waliofanikiwa sana maishani kiuchumi !!
Bodaboda kanunua V8 kwa pesa alioipata kwa Bodaboda??

Ila ni rahisi mfanyakazi wa madini kununua V8 haijalishi mtaji wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…