Kama unataka kufanikiwa kweye maisha, acha kufanya kazi za kimasikini zenye asili ya kimasikini.

Kama unataka kufanikiwa kweye maisha, acha kufanya kazi za kimasikini zenye asili ya kimasikini.

Huu UHURU wa kila mtu kujiandikia kila anachojisikia bila ya admins kufanyia censorship threads za aina hii, soon Jukwaa hili La JamiiForums linaenda kuwa moja ya Jukwaa linalochochea kwa Kasi watu kupata magonjwa ya akili ya Aina ya contents zinazoachiwa Ku trend na hazina msingi wowote katika kujenga Jamii iliyo Bora.

Uongozi wa JF huu UHURU Jaribuni kuupunguza tafadhalini Sana.

Cc. JamiiForums , Maxence Melo
Umeona mbali sana
 
Mtu anaweza akawa polisi akajibana akapata mtaji akafanya biashara akapiga hela...traffic police wanapiga sana hela barabarani humo
Wanafanya biashara gani humo barabarani? Au wanapiga kazi haramu barabarani? Unataka na walimu wawalipishe wanafunzi chaki ndo wafundishwe?
 
Ingawa maisha hayana formula lakini mtoa mada Yuko sawa kabisa... Mfano mwalimu kumiliki bilioni 100 possibility ni 0.000920088754111133642172417772
Unahisi ktk waajiriwa wote wa serikalini nani anaweza kumiliki bilioni 100 ndg mtoa ujumbe?
 
Wewe ni mpumbavu mkubwa kabisa, kazi ya Bodaboda naijua nimefanya zaidi ya miaka 3 huwezi kunidanganya kitu, niambie unafanya wapi?
Ili kuonesha Huna akili kama umeingiza 50k per day kwa mwaka lazima ungekuwa na biashara ingine ila kwakuwa kazi unayofanya ina laaana hujawaza nje ya box.
Wewe ni muongo na mpumbavu mkubwa
Mjibu kwa hoja na kwa mahesabu kama alivyotiririka yeye mwenyewe, siyo kumtukana.
 
Mwigulu mchemba hana hiyo hela?
Mbunge ni mwajiriwa wa serikalini? Uliwahi kuona lini serikali inatangaza ajira za mawaziri au wabunge?? Tukienda kwenye salary scale za watumishi tutakutana na ya mwigulu?
 
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.

Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.


HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk

Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.

Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi

Hapa nazungumzia local participants
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.

Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.


HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk

Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.

Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi

Hapa nazungumzia local participants
Sasa tajiri si utoe mwongozo unaoeleweka kuliko kuwachamba masikini
 
Shida ya matajiri wa JF ni kujisifu tu ila hamkunjui hizo fursa 🤣 mtu atakuja hapa anaeleza anavyopiga faida za Million 2 kwa siku mara ana UTT million 60 mwingine anawananga kazi za wengine za kimaskini ila hasemi ! Ooho nilitengeneza Mill 19 ndani ya week mbili wakifatwa inbox wanazamia !


Saa zingine tunawaza ni maskini wenzetu wako wanarelease stress kama tunavyojadili hapa Vita ya Ukraine na Russia mpaka tunakua na makundi ila mwisho wa siku hatuna impact yeyote kwenye hiyo vita yaan maoni yenu yanajaza tu server za JF zinakua hadi za moto ila tumo tu 🤣🤣

Tena mimi nawaonaga kina Kelvin kibenje na kina Nanauka na aina zake wanajitahidi kuliko matajiri wa JF huenda sio matajiri huenda hawana hela ila angalau wanashare maarifa anakwambia njoo nikuuzie kitabu cha machimbo ya kariakoo wewe utakaa ujifikirie uanze na nini hata ukiharibu mara ya kwanza mara ya kumi utakua umepata uzoefu wa nini cha kufanya.

Mwanaume wa Kweli njoo hapa toa miongozo oya wahuni iangalieni hii fursa hapa chezeni nayo elekeza mitaji ,elekeza kuanza kwake , changamoto zake , watu waulize maswali atakayeelewa mchezo anajitosa kuna siku ataandika uzi kukushukuru au atakufata binafsi , hizo ndo sadaka

Sasa matajiri wa JF mna vichambo 🤣🤣 manina zenu.
Hicho kitabu Cha machimbo ya kariakoo kipo wapi natak nianze kuuza vitunguu 😄
 
Pia hao walim na polisi Kuna wachache wanafanya hizo kazi kwa lengo la kupata mtaji then wanaacha kazi
Kuna wengine wanafanya kazi ya ualimu kwa ajili ya kupata tu hela ya sukari na mboga. Nje ya hapo wana miradi ya kati yenye uhakika wa kuingiza milioni 2.5+ kwa mwezi nje ya makato na gharama za uendeshaji wa miradi hiyo.
Maisha hayafanani kwa wote. Kuna watu wako BOT au TRA zinazotajwa kuwa na mishahara minono nchini lakini maisha na hali zao za kipato ni chini kuliko deiwaka wa TANESCO.
 
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.

Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.


HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk

Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.

Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi

Hapa nazungumzia local participants
Kama kawaida ukiona mtu anayedharau kazi ya mtu mwingine anayepambana kihalali ambaye anaweza kupanda na kesho akabadili kazi huyo sio mpambanaji halisi na anakua hawezi kufanikiwa kirahisi .
 
Hakuna kitu kama hiko hakuna Bodaboda anaeweza kujenga ya 30m kama Kuna Bodaboda unamjua kajenga nyumba ya 30m aje hapa nimpe 500k cash
Kuna boda boda wanaingiza zaidi ya 100k kwa siku, yupo mmoja tangu 2020 huwa anabeba mizigo ya wateja ofisi. Juzi kaniambia ukishusha mzigo niambie nataka ninunue niweke store bei ikipanda ntauza nikajua ni utani.

Jana nimeshusha mzigo nikamwambia jamaa kachukua mzigo wa 10,500,000 halafu akalipa cash sikuamini.

Tuache kuzarau kazi za watu boda boda hana kodi ya frame,halipi taka,halipi lesen ya biashara halipi service levy halipi ulinzi,halipi TRA hata kama anapata elfu 30 per day hiyo haina makato yoyote wale jamaa wanaingiza hela nzuri sana ni vile watu wanawachukulia poa
 
Hicho kitabu Cha machimbo ya kariakoo kipo wapi natak nianze kuuza vitunguu 😄
Mimi sina 🤣 wanacho hao wahamasishaji ndo nasema afadhali yao anakupa kitabu cha machimbo na namba za simu ukajumue kwa bei nzuri ili na wewe ukauze kwa bei yako ufaidike ,

Sio hawa matajiri wa JF wakipata hela kazi kusema na kutukana wengine badala watoe mikakati
 
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.

Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.


HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk

Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.

Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi

Hapa nazungumzia local participants
Kazi ya kuniinua ni wizi au uchawa.
 
Fikra zako haziko sahihi kila muda
Usitake unachoamini wewe muda wotee kikawe sahihi.

Nikiwa nimefanya kazi private miaka 3
Na serikalini miaka 13.

MTOA MADA YAKO SAHIHI
NA hao uliowa tag wampe zawadi.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nimekaa chini na kutafakari na kuangalia uhalisia kisha nikagundua mleta mada yupo sahihi japo yamkini anaweza akaonekana ametumia ukali wa maneno ktk kuwakilisha hoja yake.
 
Back
Top Bottom