FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Tuwekee ya mama'ko kwanza Ya zamani na ya sasa.ajuza na wewe weka yako ukiwa na miaka 25 miaka ile ya sabini tuone ulionekanaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee ya mama'ko kwanza Ya zamani na ya sasa.ajuza na wewe weka yako ukiwa na miaka 25 miaka ile ya sabini tuone ulionekanaje.
Wivu wa nini?Hivi ni kwanini wanawake munaoneana wivu
Kula vizuri na mazoezi inachangia
USA wanaongoza kwa cosmetic surgery...
Malizia stori ...Sasa ikawaje!?Kuna dem alintumia picha,ila nilivyoenda kukutana nae walah ni watu wawili tofauti,nilpochunguza vizuri ile picha kuna maandishi chini ya picha yake yanaitwa Photo Lab.
Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
FaizaFoxy lazima aone wivu. Usikute yeye kazaliwa 1999 maziwa yamelala kama dekio, sura imekomaa mpk make up zinadunda. Bado kanenepeana minyama inqning'inia kama utumbo wa nyongeza.
Kwa ubaya huo anaachaje kumuonea wivu Beyonce mwenye umri wa mamake lkn bado anang'ara ?
Tuwekee ya mama'ko kwanza Ya zamani na ya sasa.
Easy man...!FaizaFoxy lazima aone wivu. Usikute yeye kazaliwa 1999 maziwa yamelala kama dekio, sura imekomaa mpk make up zinadunda. Bado kanenepeana minyama inqning'inia kama utumbo wa nyongeza.
Kwa ubaya huo anaachaje kumuonea wivu Beyonce mwenye umri wa mamake lkn bado anang'ara ?
View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Mpasuaji mmoja alitaka kunifanyia bure anitoe kunyanzi usoni ili atangaze biashara...
Nikagoma, mambo ya kuumuka na kusinyaa nani anataka...😃.
Ila mbinu za kuonekana kijana zipo.... huwa unamfuatilia Rais wa Marekani Joe Biden... ana miaka 80 lakini ukimuangalia vizuri anaonekana kama hajazeeka..Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Basi sawa yaishe mkuu. Lakini nijuavyo mimi kuna siku alitoa wasaa tumuulize chochote kuhusu maisha yake hivyo sitarajii kama alitupiga kamba kwa mengi aliyotueleza.Wewe umejuaje umri wa FaizaFoxy ? Usiyaamini maneno yake. Unaweza kukuta ni kasichana la miaka 19 tu
Hapana. Ni jina tu. Kwani mtu akiitwa Tiger Wood maana yake ni mnyama? Akiitwa Simba anakuwa mnyama?Hivi hiyo "sexless" unamaanisha wewe ni shoga?
Ila Kila jina Lina maana ndani yake,hata uchaguzi ww majina bandia kama ya humu JF ...Kila mmoja anajua Kwa Nini alichagua jina Fulani!Hapana. Ni jina tu. Kwani mtu akiitwa Tiger Wood maana yake ni mnyama? Akiitwa Simba anakuwa mnyama?
Sexless haina maana yoyote na jinsi nilivyo
Tiger na Wood zote hizo ni nouns, sexless ni verb.Hapana. Ni jina tu. Kwani mtu akiitwa Tiger Wood maana yake ni mnyama? Akiitwa Simba anakuwa mnyama?
Sexless haina maana yoyote na jinsi nilivyo