sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Hii itakua photo labView attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii itakua photo labView attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Kujua kwann inakuwa ni suala la sababu na siyo maana. Jina langu halina maana Wala sababu ktk maisha yanguKila mmoja anajua Kwa Nini alichagua jina Fulani!
Umetoka kijijini lini mkuu! Hiyo Makeup! Akiondoa makeup mikunyanzi kama yoote!View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
pharrell williams! Mtafute instagram uone! Drugs, alcohol, ngono haviwezi kukuachia ujana! Utazeeka fastaYule aloimba "because I am happy" cjui huwa ni vampire,hazeekagi kabisa yule
njoo tuchezeKucheza music ni zoezi tosha
Kweli wanawake mnaoneana wivu! Si kwa mipasho hii!FaizaFoxy lazima aone wivu. Usikute yeye kazaliwa 1999 maziwa yamelala kama dekio, sura imekomaa mpk make up zinadunda. Bado kanenepeana minyama inqning'inia kama utumbo wa nyongeza.
Kwa ubaya huo anaachaje kumuonea wivu Beyonce mwenye umri wa mamake lkn bado anang'ara ?
Kamaliza degree ya kwanza 1982! Kuwa na adabu kwa Bibi yakoWewe umejuaje umri wa FaizaFoxy ? Usiyaamini maneno yake. Unaweza kukuta ni kasichana la miaka 19 tu
Hapan'shaka na machine bado mnato.View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Upo sahihi wengi hutumia make-up na photoshop lakini anacho ongea jamaa ni kweli na sio Beyoncé tuu kuna celebrities wengi hawazeeki mfano kama Pharell Williams.Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Hahah...
Kasinde aina zote za surgical procedures za kuondoa makunyanzi ni salama kabisa
Hongera zao.Upo sahihi wengi hutumia make-up na photoshop lakini anacho ongea jamaa ni kweli na sio Beyoncé tuu kuna celebrities wengi hawazeeki mfano kama Pharell Williams.
Ingia hata account ya Instagram ya Beyonce utajionea, hawez kufanya photoshop kweny kila picha na video anazopost maana hapungukiwi chochote hata mkianza kuona ametoka makunyanzi usoni.
'Sexless' haiwezi kuwa verb, labda adjective.Tiger na Wood zote hizo ni nouns, sexless ni verb.
Kasie rudisha avatar yako ya kwanza ileMsafiri usinishawishi tasavali.....
Unajua risepusheni haina spea....
Nikishaacha waanze kuichokonoa na kunyoosha ngozi...😅😅😅
Shugaaa, akili ya Kasie ni shidaa...😁😁😁😁 nilipofika hapo kwenye kunyoosha ngozi akili ikawaza vile namna ngozi ya muhogo huwa inavutwa kisha inakatwa kuondoa mkono wa sweta.....😋😋😋
Kidoogooo hapo nimeshawishika maana kule kukiumuka maashaalaaah, kukisinyaa hewala...😁😁😁.
Ila bado sijashawishika, kuvuta kunyanzi mara jicho lisogee karibu na sikio.....
Jumapili njema Msafiri maana hata simalizi kuwaza 😄.
Icha ni nini?Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Wewe umewahi kumuona huyo faizafoxy? Yeye mwenyewe hana adabu sasa unataka aheshimiwe na nani?Easy man...!
Uwe na adabu kidogo mkuu. FaizaFoxy ni mama mwenye umri mkubwa zaidi ya miaka 60. Mpe heshima yake uwapo matembezini mitaa ya JF.
Una uhakiKa gani kamaliza degree 1982?Kweli wanawake mnaoneana wivu! Si kwa mipasho hii!
Kamaliza degree ya kwanza 1982! Kuwa na adabu kwa Bibi yako