Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Status
Not open for further replies.
Mkuu kasema kipimo kitakachotumika ni kile cha damu na sio hiko kengine cha kutumia kidole.
Mkuu ndio nani? Alisomea wapi udaktari?
FB_IMG_1523941294145.jpg
 
Msijali daktari mwanamke nitakuwepo, wale wasiotaka kupimwa na wanaume watakuja kwangu niwafanyie vitu hivyo saba hapo juu,

Hahahaha kama nawaona vile mnavyoinama.

Halafu mbona upimaji wa kansa ya titi wanawake sio wabishi kuchezewa matiti yao?? nyie wanaume mna nini kwenye makalio yenu?
Ila uangalie huyo unayempima kwa kumshikashika anaweza kukugeuka ati, ohooo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hiyo ni lugha ya kutushawishi / kututongoza tu Mkuu ila nasikia mambo yote huko ni ' Full Ndole Screening ' na nadhani pia umeweza hata kuviona Vidole vya Madaktari wetu wa Kiume vilivyo katika baadhi ya Picha zilizowekwa na Wadau katika ' Uzi ' huu huu.
Mkuu kama kutakuwa ni kinyume na makubaliano humo ndani lazima damu zimwagike.
 
Poti. Umesahahu kwamba ni LAZIMA DAKTARI AKUPIME OIL ndani kabisa huko ambako ndiko tezu hukaa.

Lakini hawafanyi makusudi ndio njia sahihi ya upimaji.

Kuna magonjwa mengi na vipimo vingi tu ambavyo vinahusisha kupapaswa au kuwekewa vitu sehemu za siri.

Ieleweke kwamba kuna aina nyingine za kupima TEZI DUME pasipo udhalilishaji. Njia hizo ni ghali kidogo. Mfano ni kutumia CT SCAN na MRI au kupima ENZYMES kwenye damu zinazoendana na uwepo wa TEZI DUME.
 
Duh
Kumbe ndio hivyo wanaume kazi mnayo poleni sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na kilichoniudhi na kunishtua zaidi Mkuu nimeambiwa kuwa 99.9% ya Madaktari wa Tezi Dume nchini Tanzania ni Wanaume watupu na kwamba Wanawake nchi nzima wako Watatu tu mmoja Nanjilinji mwingine Tandahimba na wa mwisho Kyaka Nkunde na kwamba ambao wako Mkoa wa Dar es Salaam ambako zoezi litaanzia wote ( 100% ) ni Wanaume. Nadhani sasa unaweza ukaona jinsi tatizo litakavyokuwa na jinsi watakavyokuwa na wakati mgumu hasa kwa Sisi Wanaume wa Bara tena wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Wanamume wa ' Shoka '.
Aiseeee
 
Poti. Umesahahu kwamba ni LAZIMA DAKTARI AKUPIME OIL ndani kabisa huko ambako ndiko tezu hukaa.

Lakini hawafanyi makusudi ndio njia sahihi ya upimaji.

Kuna magonjwa mengi na vipimo vingi tu ambavyo vinahusisha kupapaswa au kuwekewa vitu sehemu za siri.

Ieleweke kwamba kuna aina nyingine za kupima TEZI DUME pasipo udhalilishaji. Njia hizo ni ghali kidogo. Mfano ni kutumia CT SCAN na MRI au kupima ENZYMES kwenye damu zinazoendana na uwepo wa TEZI DUME.

Kwa ' Full Ndole Screening ' hawajanipata bado GENTAMYCINE na hata hiyo ya mashine nayo nina wasiwasi nayo na kwamba wanajaribu tu kutupanga / kututengeneza Kisaiokolojia ila ukweli ni kwamba Wanaume wa Dar es Salaam kuna hatari ' tukatambaliziwa ' mno ' Ndole ' na Madaktari wa Tezi Dume walioratibiwa na Mkuu wa Mkoa Makonda.
 
Nimesoma thread ya gentamicine ninajua kidogo anajua jambo zima, anatuhaminisha kuwa huo ndo utaalam wa kidaktari, nikagundua kuwa sometimes hatusomi maelekezo mazuri ila tunapenda sana kuweka mawazo yetu na kisha kutoa hukumu.
Nafikiri tukitumia Akili, maelekezo au kuwa wadadisi tutajua mengi sana
Nimesoma taarifa ya mheshimiwa Makonda na akasema kuwa kuna upotoshaji kama huo na akaendelea kusema kuwa kwa sasa WANAPIMA KWA KUCHUKUA SAMPLE YA DAMU. Hata kama mimi sio daktari nilimuelewa. Someni comments vizuri
 
Duh
Kumbe ndio hivyo wanaume kazi mnayo poleni sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Issue ni 1.5 Trillioni na maandamano ya tarehe 26, zinatafutwa tu porojo za kuwatowa watu kwenye reli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom