eti ngombe na pembe zake ahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Mleta uzi badili kichwa cha uzi. Iwe ULISHAWAHI KUACHWA KIMASIHARA?.
Mimi hata sitaki kabisa kurudia kukumbuka, ila wanaume huwa tunajikaza tu ilakini moyoni maumivu yake hayaelezeki. Labda itokee kwamba huyo aliyekuacha hakuwa 1st wala 2nd priority kwako. Kuna mtu mnakutana na mnaendana kwa kila kitu, ila inatokea ng'ombe fulani na pembe zake, inayachona mapenzi yenu.
Wewe unautafuta umaskini, huyo ni SLAY QUEEN hana huruma na wewe ni pesa tu.Mimi imenitokea jana usiku, huyu dem ananipenda sana, tatizo ana maisha flan classic halafu yuko mjini, anachotaka nimgharamikie mimi maisha hake, mfano kodi ya nyumba nilipe mimi, akiugua nimtibishe, chakula nimnunulie mimi pamoja na ndugu zake anaoishi nao, nami kimaisha sijakaa fresh bado, ndo najipanga, hata huo uwezo wa kumtunza ningeweza kukomaa mno kumtunza but sitakuwa na personal development, sasa jana nikamwambia mbinu anazotumia kuniomba hela ni za kisanii, akamind kaniblock namba zote, ofcourse nampenda zaidi sana kwakuwa ananipenda, ila vizinga vyake sio vya nchi hii, sasa hivi naumia nikikumbuka nice moments we shared, ila nina unafuu kukwepa gharama zingezokuwa mbele yangu,, Ushauri wenu naomba, juu ya hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa man ni fala sana..wahaya wana corona kakaAmbacho kinachokutesa Ni kumbukumbu tu,chakufanya ukihudhuria kwa wiki mbil utaona mabadiliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata muda kunywa savanah mbili half ukalale ukiamka yote yameishaMimi imenitokea jana usiku, huyu dem ananipenda sana, tatizo ana maisha flan classic halafu yuko mjini, anachotaka nimgharamikie mimi maisha hake, mfano kodi ya nyumba nilipe mimi, akiugua nimtibishe, chakula nimnunulie mimi pamoja na ndugu zake anaoishi nao, nami kimaisha sijakaa fresh bado, ndo najipanga, hata huo uwezo wa kumtunza ningeweza kukomaa mno kumtunza but sitakuwa na personal development, sasa jana nikamwambia mbinu anazotumia kuniomba hela ni za kisanii, akamind kaniblock namba zote, ofcourse nampenda zaidi sana kwakuwa ananipenda, ila vizinga vyake sio vya nchi hii, sasa hivi naumia nikikumbuka nice moments we shared, ila nina unafuu kukwepa gharama zingezokuwa mbele yangu,, Ushauri wenu naomba, juu ya hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeachwa kisha ukatuma laki 8?![emoji16][emoji16][emoji16] acha fix basi au ndugu yake Kidukulilodah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Damn! Nimekumis we mwanamke!
Huyo Bado hajakua kiakiliNilikua nina mpenzi ambae tulipendana sana
Nilimpenda
Alinipenda
Ilitokea ikafika siku ya kuzaliwa kwake (birth Day) na kutokana na kua nilitingwa na shughuli nyingi za kikazi nilisahau kumuwish (tulikua tunaishi mikoa tofauti) lakini niliwasiliana nae kwa maongezi ya kawaida tu…
Ilipofika jioni aliniambia leo ilikua birthday yangu na hujaniwish chochote na nimeumia sana so naomba tuachane tu and so and so..
Nilimuomba msamaha kwamba nilipitiwa lakini aligoma na tukaishia kuachana for real!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo laki 8 ulimtumia kwa minajili ipi labda Kama sio fiksi?dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
ni ajabu kukumis?