Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Mkuu, unataka kusema hatuwezi kuwafikia?

Kwani wao walizaliwa na hayo mafanikio?
Ili kuwafikia inabidi
1. Pesa iwepo angalau kuanzia USD laki mbili kwenda juu
2. Sheria za nchi zibadilishwe, zinakwamisha na kuua biashara ya kuexport kwa makodi makubwa
3. Utafutaji wa connection ya bidhaa kwenye masoko ya kimataifa
4. Ujuzi wa biashara za kuexport.
 
Bora mkuu uko huko! Hutafuti kufikiri "nje" ya boksi, bali unaishi nje ya boksi.

Tushauri tuliopo huku nyumbani, tunawezaje na sisi kufikisha huko mboga na matunda tunayolima?

Bora mkuu uko huko! Hutafuti kufikiri "nje" ya boksi, bali unaishi nje ya boksi.

Tushauri tuliopo huku nyumbani, tunawezaje na sisi kufikisha huko mboga na matunda tunayolima?
Kuna wakati Kikwete aliishia kutuma vijana wakajifunze namna ya kufanya packaging ya bidhaa zetu
Ila tatizo la mswahili huwa hamalizi alichoanza hata siku moja kiufupi huwa wanaangalia nini wananchi wanaongelea halafu wanalianzisha linaishia katikati maana hawqjui kuendeleza

Kweli ukiangalia hata mizigo inayopelekwa mikoani kupitia malori tu au train jinsi walivyo pack utalia ni vurugu
Yaani unaagiza mzigo wa nguo unaweza kukuta spana ya gari imo ndani kisa mzigo wa mwingine wa spea umefumuka
Tunaweza ila je tuna matunda na mboga mboga za kila msimu?
Huku wanataka mzigo anakupa wiki Tatu in advance na uwe haujaharibika na unaweza kukaa kwa siku hata tano bila kuharibika kwa sababu ya masoko

Tunahitaji umwagiliaji sana bila kutegemea mvua kama tuna nia ya kuuza nje
Huku hawanunui kwa msimu wanaletewa kila siku kwa ndege

Ndio maana unaona jirani wanakuja kununua kwetu wakiwa kwao msimu tofauti
Hata SA wananunua sana parachichi kutoka kwetu na kuyauza ulaya kwa sababu lazima wakidhi mahitaji ya kila siku ya ulaya

Kuna tende fulani zinaitwa Majhul zilianzia Morocco na sasa wanazalisha mpaka USA na Saudia na Israel
Yaani ni tende kubwa sana na ni tamu pia
Sasa SA kajiongeza zipo sokoni hapa na nimetoa order yangu kwenda kuuza hapa hapa
Nafikiri na wao wameanza kuzalisha huko
Dunia ya leo kila mmoja anapata faida kubwa kwa chakula na sisi ardhi tunayo

Leo kuna shamba la ndani ya sehemu kubwa Los Angeles ambapo wamepanda kila kitu na hawahitaji ardhi bali ndani ya jengo kubwa wanapanda kila kitu

Sisi tunajivuta kwa mambo mengi sana yaani akili yetu especially tz naona inakuwa taratibu sana au viongozi hawataki maendeleo
 
Inasemekana Kenya.............

Inasemakana Kenya..............

Dah! Pale NGORONGORO PIA KENYA ILITAJWA?
 
Kuna wakati Kikwete aliishia kutuma vijana wakajifunze namna ya kufanya packaging ya bidhaa zetu
Ila tatizo la mswahili huwa hamalizi alichoanza hata siku moja kiufupi huwa wanaangalia nini wananchi wanaongelea halafu wanalianzisha linaishia katikati maana hawqjui kuendeleza

Kweli ukiangalia hata mizigo inayopelekwa mikoani kupitia malori tu au train jinsi walivyo pack utalia ni vurugu
Yaani unaagiza mzigo wa nguo unaweza kukuta spana ya gari imo ndani kisa mzigo wa mwingine wa spea umefumuka
Tunaweza ila je tuna matunda na mboga mboga za kila msimu?
Huku wanataka mzigo anakupa wiki Tatu in advance na uwe haujaharibika na unaweza kukaa kwa siku hata tano bila kuharibika kwa sababu ya masoko

Tunahitaji umwagiliaji sana bila kutegemea mvua kama tuna nia ya kuuza nje
Huku hawanunui kwa msimu wanaletewa kila siku kwa ndege

Ndio maana unaona jirani wanakuja kununua kwetu wakiwa kwao msimu tofauti
Hata SA wananunua sana parachichi kutoka kwetu na kuyauza ulaya kwa sababu lazima wakidhi mahitaji ya kila siku ya ulaya

Kuna tende fulani zinaitwa Majhul zilianzia Morocco na sasa wanazalisha mpaka USA na Saudia na Israel
Yaani ni tende kubwa sana na ni tamu pia
Sasa SA kajiongeza zipo sokoni hapa na nimetoa order yangu kwenda kuuza hapa hapa
Nafikiri na wao wameanza kuzalisha huko
Dunia ya leo kila mmoja anapata faida kubwa kwa chakula na sisi ardhi tunayo

Leo kuna shamba la ndani ya sehemu kubwa Los Angeles ambapo wamepanda kila kitu na hawahitaji ardhi bali ndani ya jengo kubwa wanapanda kila kitu

Sisi tunajivuta kwa mambo mengi sana yaani akili yetu especially tz naona inakuwa taratibu sana au viongozi hawataki maendeleo
Sekta ya kuexport vitu kwenda soko la kimataifa ndio ina hela nyingi, tz tungepata matrillioni mengi kwenye kuexport. Nchi zote duniani zenye pesa huwa zinaexport vitu ili kuingiza hela na kutengeneza ajira. Sisi huku ni mwendo wa kukurupuka tu 😂. Duniani kote nchi kubwa zinapambana kuexport bidhaa mbali mbali, sisi ndio kwanzaa tuko bize na kuimport 😂. Na kununua maV8 😂😂
 
Sekta ya kuexport vitu kwenda soko la kimataifa ndio ina hela nyingi, tz tungepata matrillioni mengi kwenye kuexport. Nchi zote duniani zenye pesa huwa zinaexport vitu ili kuingiza hela na kutengeneza ajira. Sisi huku ni mwendo wa kukurupuka tu 😂. Duniani kote nchi kubwa zinapambana kuexport bidhaa mbali mbali, sisi ndio kwanzaa tuko bize na kuimport 😂. Na kununua maV8 😂😂
Mkuu hatutafika popote na sio kwamba viongozi hawajui, wanajua vizuri sana ila wanaona hizo za kuomba zinakuja haraka na kufikia mikononi mwao na kugawana
Sisi tutakuwa masikini miaka yote
Na sasa nchi nyingi zinazalisha vyakula vyao na mwisho watakuja kutuuzia na sisi
Leo tunalima mahitaji yetu tu ila haitoshi pia kwa sababu tunahitaji kuuza kinyemela pia
Jirani wanakuja kununua na zinapita kimagendo
Kweli leo kila kitu kikipita njia za panya unategemea kupata fedha za kigeni?
 
Mkuu hatutafika popote na sio kwamba viongozi hawajui, wanajua vizuri sana ila wanaona hizo za kuomba zinakuja haraka na kufikia mikononi mwao na kugawana
Sisi tutakuwa masikini miaka yote
Na sasa nchi nyingi zinazalisha vyakula vyao na mwisho watakuja kutuuzia na sisi
Leo tunalima mahitaji yetu tu ila haitoshi pia kwa sababu tunahitaji kuuza kinyemela pia
Jirani wanakuja kununua na zinapita kimagendo
Kweli leo kila kitu kikipita njia za panya unategemea kupata fedha za kigeni?
😂😂
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Ikija pesa ya msaada lazima iliwe, ikija pesa ya mkopo lazima iliwe 😂😂😂

Masuala ya kuexport wanaona kama upuuzi tu 😂
 
Mfumo wenyewe unatupiga kichwani, ukionyesha kutaka kutoboa serikali hiyo hapo na makodi kibao.

Hata kuonyesha support ili upasue njia mbele huko wao utawaona 'unadaiwa kodi ya miaka 6'.

Wenzetu wanapeana support plus serikali kuweka mazingira rafiki, mfano kupata passport au Visa hadi hapo unakata tamaa.
🙏
 
Ili kuwafikia inabidi
1. Pesa iwepo angalau kuanzia USD laki mbili kwenda juu
2. Sheria za nchi zibadilishwe, zinakwamisha na kuua biashara ya kuexport kwa makodi makubwa
3. Utafutaji wa connection ya bidhaa kwenye masoko ya kimataifa
4. Ujuzi wa biashara za kuexport.
🙏🙏🙏
 
Na kuuza sura
Eti wanatembea kwenye tope kama hawajawahi kuliona
Kuna watu wana mbwembwe za kishamba aisee
Yaani unatembea kama unacheza sakayonsa 😄 🤣
Hapo ni posho na macamera tu 😂😂😂. Tena wanaruka live toka kwenye tope, ili kuonesha uchungu 😂😂😂
 
Kuna wakati Kikwete aliishia kutuma vijana wakajifunze namna ya kufanya packaging ya bidhaa zetu
Ila tatizo la mswahili huwa hamalizi alichoanza hata siku moja kiufupi huwa wanaangalia nini wananchi wanaongelea halafu wanalianzisha linaishia katikati maana hawqjui kuendeleza

Kweli ukiangalia hata mizigo inayopelekwa mikoani kupitia malori tu au train jinsi walivyo pack utalia ni vurugu
Yaani unaagiza mzigo wa nguo unaweza kukuta spana ya gari imo ndani kisa mzigo wa mwingine wa spea umefumuka
Tunaweza ila je tuna matunda na mboga mboga za kila msimu?
Huku wanataka mzigo anakupa wiki Tatu in advance na uwe haujaharibika na unaweza kukaa kwa siku hata tano bila kuharibika kwa sababu ya masoko

Tunahitaji umwagiliaji sana bila kutegemea mvua kama tuna nia ya kuuza nje
Huku hawanunui kwa msimu wanaletewa kila siku kwa ndege

Ndio maana unaona jirani wanakuja kununua kwetu wakiwa kwao msimu tofauti
Hata SA wananunua sana parachichi kutoka kwetu na kuyauza ulaya kwa sababu lazima wakidhi mahitaji ya kila siku ya ulaya

Kuna tende fulani zinaitwa Majhul zilianzia Morocco na sasa wanazalisha mpaka USA na Saudia na Israel
Yaani ni tende kubwa sana na ni tamu pia
Sasa SA kajiongeza zipo sokoni hapa na nimetoa order yangu kwenda kuuza hapa hapa
Nafikiri na wao wameanza kuzalisha huko
Dunia ya leo kila mmoja anapata faida kubwa kwa chakula na sisi ardhi tunayo

Leo kuna shamba la ndani ya sehemu kubwa Los Angeles ambapo wamepanda kila kitu na hawahitaji ardhi bali ndani ya jengo kubwa wanapanda kila kitu

Sisi tunajivuta kwa mambo mengi sana yaani akili yetu especially tz naona inakuwa taratibu sana au viongozi hawataki maendeleo
Mkuu, unanishauri nifanyeje?

Kweli kabisa natamani na mimi nifikie level ya "Wakenya", na zaidi.
 
Mkuu, mbona mimi nawaamini sana Wakenya?.

Siamini kama kuna mtu anyeweza "kunipiga"

Anipige mimi nikiwa wapi? Kika kitu tutaifanya kwa kuzingatia kanuni, taratibu, na vigezo.
Wanajielewa sana na wachapa kazi
Majizi wachache sana tena sio kwenye biashara
Ndio maana hata makampuni tz wengi wanaajiri wakenya
Ni watani wetu na huwa tunawatania na kutukana nao kila leo ila haki yao tuwape
Wanajali maslahi yao ila wachoyo balaa 😄 🤣
 
Wanajielewa sana na wachapa kazi
Majizi wachache sana tena sio kwenye biashara
Ndio maana hata makampuni tz wengi wanaajiri wakenya
Ni watani wetu na huwa tunawatania na kutukana nao kila leo ila haki yao tuwape
Wanajali maslahi yao ila wachoyo balaa 😄 🤣
Inawezekana siyo wachoyo mkuu ila tu umekutana na mchumi makini🤣
 
Back
Top Bottom