Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Wewe na wengine mnaojifananishaga na China huwa mna akili ndogo sana... unajua hadi China kafika hapo alifikaje? Sisi twende kwa njia zetu tunazoweza kwenda nazo ikiwemo hiyo ya lugha... tutakuwa wapumbavu kujimwambafy kuwa kiswahili kinatosha huku tumeshasaini mikataba kibao na mabeberu wenye lugha yao. Kwa tulipofikia hatuwezi kuwavimbia wazungu. Twende nao kijanja
Mchina ni bonge la bepari tena

Ova
 
Serikali yao imewasimamia kuhusu upande wa ku export na hayo mambo mengine uliyosema
Sisi huku tuendele kufungua bar,watoto wakatike mauno misomisondo honey ndiyo ajira mpya

Ova
Serikali inawasaidia, pia mabenki ya Kenya yanawasaidia sanasana hiyo Equity Bank inawakopesha wafanyabiashara wengi wa Kenya. Hiyo Equity Bank ina nguvu sana Kenya na Ceo wao James Njuguna Mwangi yuko vizuri.

......

Sisi ngoja tuendelee kutafuna msambwanda kwa buku jero, 😂😂😂😂
 
Haswa wazungu wako hivyo sana tu
Ila na mimi kuna wazungu huwa nawapa halafu nawaambia sharing is caring naona baadhi wanaelewa ila utaambiwa kwa mfano chakula kina nini ndani yake usije kupaliwa au hutumii
Sisi bado tuna utamaduni wa kiafrika nafikiri ni mzuri zaidi
Mzungu mwenyewe anakuja tz hana hata Mia,akiona fursa anapeleka kwao
Anarudi tz anaanza mchakato
Maana wenzetu wanaaminiana

Ova
 
Serikali inawasaidia, pia mabenki ya Kenya yanawasaidia sanasana hiyo Equity Bank inawakopesha wafanyabiashara wengi wa Kenya. Hiyo Equity Bank ina nguvu sana Kenya na Ceo wao James Njuguna Mwangi yuko vizuri.

......

Sisi ngoja tuendelee kutafuna msambwanda kwa buku jero, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii benki ya kilimo tz haina haina msaada wowote kwa wakulima

Angalia tu tz sahv frem zilivyojaa
Maana nchi hii ni ya kichuuzi

Ova
 
Sio inasemakana. Mpaka sasa hivi soko la mazao ya Tanzania liko Kenya. Pia hata soko lenye bei nzuri ya madini kuanzia Tanzanite mpaka dhahabu liko Kenya. Pia hata mafuta ya Alizet yananunuliwa kwa wingi na Kenya kisha kule yanafanyiwa pakeging na nembo za Kenya yanasafirishwa nje. Kwa ujumla Kenya wametuzidi ktk mambo mengi. Kikubwa hata elimu wametuzidi.
Ni rahis sana kufanya biashara kenye kuliko Tanzania...
Mfumo WA ni mrahisi sana kufanya biashara sisi kwetu milolonngo ni mingi sana...
Na mifumo mingi haipo transparent ndo sababu....
Yaani sio A+B
Yaani ni mlolongo....kama uamini jaribu ku import au ku export bidhaa za vyakula...
Haswa akwenye ku import Mimi Nina ushuhuda..
Icing sugar hapa bongo haizalishwi...kuingiza nchini ni 100% kodi.
Yaani unanunua Kenya 1000 unalipia kodi 1000
Kenya huu ujinga haupo japo WAna imports a lot from tz
 
Ni rahis sana kufanya biashara kenye kuliko Tanzania...
Mfumo WA ni mrahisi sana kufanya biashara sisi kwetu milolonngo ni mingi sana...
Na mifumo mingi haipo transparent ndo sababu....
Yaani sio A+B
Yaani ni mlolongo....kama uamini jaribu ku import au ku export bidhaa za vyakula...
Haswa akwenye ku import Mimi Nina ushuhuda..
Icing sugar hapa bongo haizalishwi...kuingiza nchini ni 100% kodi.
Yaani unanunua Kenya 1000 unalipia kodi 1000
Kenya huu ujinga haupo japo WAna imports a lot from tz
Watu muwe na kipato mje muwasumbue system [emoji1]

Ova
 
Ili kuwafikia inabidi
1. Pesa iwepo angalau kuanzia USD laki mbili kwenda juu
2. Sheria za nchi zibadilishwe, zinakwamisha na kuua biashara ya kuexport kwa makodi makubwa
3. Utafutaji wa connection ya bidhaa kwenye masoko ya kimataifa
4. Ujuzi wa biashara za kuexport.
Namba mbili ku import ni kwikwi ndugu yangu Tanzania Ina kodi sana....ndo maana bidhaa za magendo ni nyingi...ukitumia njia halali unapigwa kodi mpaka unachanganyikiwa.
Nilifata icing sugar Kenya kuleta mpaka bongo ni hasara ....
Sasa hivi naletewa na watu....sijui wanajua wao....napata faida ....
 
Watu muwe na kipato mje muwasumbue system [emoji1]

Ova
Uko sahihi aiseee...
Mpaka kule viwandani wanashangaa
January nataka nifate bidhaa nyingine nione makato ya kodi ..maana Kwa upande huo sioni faida
Aisee Kuna kodi ni kichomi
 
Namba mbili ku import ni kwikwi ndugu yangu Tanzania Ina kodi sana....ndo maana bidhaa za magendo ni nyingi...ukitumia njia halali unapigwa kodi mpaka unachanganyikiwa.
Nilifata icing sugar Kenya kuleta mpaka bongo ni hasara ....
Sasa hivi naletewa na watu....sijui wanajua wao....napata faida ....
Nchi ngumu hii. 😂
 
Namba mbili ku import ni kwikwi ndugu yangu Tanzania Ina kodi sana....ndo maana bidhaa za magendo ni nyingi...ukitumia njia halali unapigwa kodi mpaka unachanganyikiwa.
Nilifata icing sugar Kenya kuleta mpaka bongo ni hasara ....
Sasa hivi naletewa na watu....sijui wanajua wao....napata faida ....
Rombo hpo chocho si nyingi zipo [emoji1]

Hivi tanzania hatuzalishi icing sugar

Ova
 
Uko sahihi aiseee...
Mpaka kule viwandani wanashangaa
January nataka nifate bidhaa nyingine nione makato ya kodi ..maana Kwa upande huo sioni faida
Aisee Kuna kodi ni kichomi
SIKU ZOTE NASEMA NCHI HII

KUNA WATU PEKEE YAO NDIYO WANATAKA WAWE EXPORTERS
PEKEE YAO NA MFUMO UNAWALINDA

NASHANGAAGA SANA KUONA MTU AKIFUNGUA PUB ,BAR BASI ANAONA NDY UWEKEZAJIIII

ova
 
Nchi ngumu hii. 😂
Nakwambia
Tena bei wanayonipa na nilivyofata Mimi ni mbingu na ardhi....
Nacheza na margin ya faida nitakavyo....
Lakin nilienda mwenyewe...nikafata mlolongo wote ....aiseee
Nilikula hasara
Alafu kingine kungekua na kibali kimoja hapa bongo
Kwa mfano ukiingiza sukari unatakiwa uende ukapate kibali huko bodi ya sukari Bado Cha wale wakaguzi Bado mlolongo WA forodha ili upate kitu kinaitwa sijui tax nini.....aisee.
Magendo hayataisha...nikielezea mpaka naingiza mzigo wangu WA kwanza kutoka hapo Kenya tu ....na 5yrs experience ya kuingiza mizigo china na uturuki...
Ni ngumu sana kufanya biashara Africa mashariki kuliko huko china na mataifa ya ulaya....
 
Hii benki ya kilimo tz haina haina msaada wowote kwa wakulima

Angalia tu tz sahv frem zilivyojaa
Maana nchi hii ni ya kichuuzi

Ova
Katika masuala ya uchumi. Hauwezi kukuza uchumi kama hauzalishi mali au huduma hasahasa kwa soko la nje (export )ili nchi ipate fedha za kigeni na kuzalisha ajira. (Production of goods and services)

Huu uchuuzi wa kuagiza vitu Dubai,China uturuki, hausaidii kitu na haukuzi uchumi wala kuzalisha ajira. Maana ushindani ukiwa mkubwa nchi inageuka kama dampo la bidhaa feki 🤣🤣🤣🤣.


Halafu hii benki ya kilimo siielewagi kabisa. Kuna comment ya mtu nilisomaga humu jf kuwa alitaka apate mkopo aanzishe kiwanda kinachotumia mahindi na mazao mengine kutengeneza vyakula vya mifugo, anasema alizungushwa mpaka akakata tamaa. Inaonekana hii benki ni ya masharti magumu au ni benki ya connection tu. Inataka mambo ya ushirika 🤣. Inataka biashara kilimo ambayo ina muda mrefu inafanya kazi miaka 3 na zaidi na mahesabu na hati na makorokoro meeeeeengiiiii 🤣🤣🤣

Yaani hii,Benki siielewi, ipo kama haipo. Nasikia eti inakopesha vijana BBT 😂😂😂

Hii combination ya benki ya kilimo na BBT nina mashaka nayo. Kuna dalili za upigaji 🤣
Hizo exports za kimataifa tutaishia kusikia kwa majirani.




Ngoja tuendelee na, We Miso misondo, umepigaje hapooooo?🤣
 
Nakwambia
Tena bei wanayonipa na nilivyofata Mimi ni mbingu na ardhi....
Nacheza na margin ya faida nitakavyo....
Lakin nilienda mwenyewe...nikafata mlolongo wote ....aiseee
Nilikula hasara
Alafu kingine kungekua na kibali kimoja hapa bongo
Kwa mfano ukiingiza sukari unatakiwa uende ukapate kibali huko bodi ya sukari Bado Cha wale wakaguzi Bado mlolongo WA forodha ili upate kitu kinaitwa sijui tax nini.....aisee.
Magendo hayataisha...nikielezea mpaka naingiza mzigo wangu WA kwanza kutoka hapo Kenya tu ....na 5yrs experience ya kuingiza mizigo china na uturuki...
Ni ngumu sana kufanya biashara Africa mashariki kuliko huko china na mataifa ya ulaya....
Hii nchi ni ngumu sana. Kuna maujingaujinga mengi sana yanafanyika ili watu wapate ulaji 🤣🤣
 
SIKU ZOTE NASEMA NCHI HII

KUNA WATU PEKEE YAO NDIYO WANATAKA WAWE EXPORTERS
PEKEE YAO NA MFUMO UNAWALINDA

NASHANGAAGA SANA KUONA MTU AKIFUNGUA PUB ,BAR BASI ANAONA NDY UWEKEZAJIIII

ova
Haswa bidhaa za vyakula....
Unazijua sabuni za jamaa,kimbo...na bidhaa zote za kapa oil refineries,Kuna mapapa wawili tu Kwa bongo land ambao ndo wanaingiza....
Jaribu wewe kwanza hawakupi ushirikiano ulienda omba vibali....yaani upewi.
Ni wazi mifumo yetu Ina mikunjo mikunjo.
Ila Kenya wanakuja kuchukua mazao Tanzania Kwa wingi na urahisi coz ....yoyote anaweza akafanya chochote.
Wakenya wanakwambia we run this country,yaani tunafanya yetu na sio wanasiasa au watu flani tu ndo wanapaswa kuamua na kupindua sheria and so and so
 
SIKU ZOTE NASEMA NCHI HII

KUNA WATU PEKEE YAO NDIYO WANATAKA WAWE EXPORTERS
PEKEE YAO NA MFUMO UNAWALINDA

NASHANGAAGA SANA KUONA MTU AKIFUNGUA PUB ,BAR BASI ANAONA NDY UWEKEZAJIIII

ova
Kweli mkuu ndio wafanyabiashara wa kibongo hawana lingine, anafungua duka akipata faida mara kajenga, halafu gari baadae kanunua bus au lorry anaona aitwe Don la mjini
Ila kufungua kiwanda anaona ni ma tycoon tu ndio biashara zao wao hawawezi
Jirani zetu tofauti sana
 
Katika masuala ya uchumi. Hauwezi kukuza uchumi kama hauzalishi mali au huduma hasahasa kwa soko la nje (export )ili nchi ipate fedha za kigeni na kuzalisha ajira. (Production of goods and services)

Huu uchuuzi wa kuagiza vitu Dubai,China uturuki, hausaidii kitu na haukuzi uchumi wala kuzalisha ajira. Maana ushindani ukiwa mkubwa nchi inageuka kama dampo la bidhaa feki 🤣🤣🤣🤣.


Halafu hii benki ya kilimo siielewagi kabisa. Kuna comment ya mtu nilisomaga humu jf kuwa alitaka apate mkopo aanzishe kiwanda kinachotumia mahindi na mazao mengine kutengeneza vyakula vya mifugo, anasema alizungushwa mpaka akakata tamaa. Inaonekana hii benki ni ya masharti magumu au ni benki ya connection tu. Inataka mambo ya ushirika 🤣. Inataka biashara kilimo ambayo ina muda mrefu inafanya kazi miaka 3 na zaidi na mahesabu na hati na makorokoro meeeeeengiiiii 🤣🤣🤣

Yaani hii,Benki siielewi, ipo kama haipo. Nasikia eti inakopesha vijana BBT 😂😂😂

Hii combination ya benki ya kilimo na BBT nina mashaka nayo. Kuna dalili za upigaji 🤣
Hizo exports za kimataifa tutaishia kusikia kaa majirani.




Ngoja tuendelee na, We Miso misondo, umepigaje hapooooo?
Kwenye kuzalisha nakuunga mkono kabisa.
Watu waliambiwa wazalishe maparachochi organic.....muulize lema mbunge mstaafu kilichojiri...
Serikali haisadii kumtafuta masoko....Kuna jamaa tu nae group moja huko....ilimbidi asafiri mwenyewe kwenda china kutafuta soko....maana kawekeza hekari za kutosha ....kaishia kuwauzia wakenya...
Alikua anatupa somo hapo kwamba imebidi aende kwanza china na ambalo hakumpata matokeo chanya maana nchi kama Kenya inabeba dhamana ya wakulima kuuza nje.
Mkuu acha tu tuchuuze china...
 
Back
Top Bottom