Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kwenye kuzalisha nakuunga mkono kabisa.
Watu waliambiwa wazalishe maparachochi organic.....muulize lema mbunge mstaafu kilichojiri...
Serikali haisadii kumtafuta masoko....Kuna jamaa tu nae group moja huko....ilimbidi asafiri mwenyewe kwenda china kutafuta soko....maana kawekeza hekari za kutosha ....kaishia kuwauzia wakenya...
Alikua anatupa somo hapo kwamba imebidi aende kwanza china na ambalo hakumpata matokeo chanya maana nchi kama Kenya inabeba dhamana ya wakulima kuuza nje.
Mkuu acha tu tuchuuze china...
Humu jf huwa nawaambiaga watu kuwa wakenya wamejipanga kuliko watu mnavyodhani. Serikali inashirikiana na sekta binafsi ili kutafuta fursa. Kuna video niliona ya hilo jengo wanalotumia kupack maparachichi kwa ubora wa kimataifa na mitambo waliyoweka humo, nilinyanyua mikono juu 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿.
Hapa Tanzania maparachichi ni mengi mpaka yanamwagwa, hakuna soko
Hapa Tanzania, sijui ni akili ndogo, sijui ni wivu, sijui ni roho mbaya. Yaani kuna ujinga mwingi sana unafanyika.


Hiyo ishu ya parachichi ni rahisi. Soko china, Uarabuni, ulaya, Marekani lipo. Kwani serikali isikopeshe vijana wawe na hiyo international standard facility njombe au iringa, vijana wa sua tena wamesoma mpaka wameenda mpaka Israel ila hawana kazi, Kwani benki ya kilimo kazi yake ni nini?

Ni ujinga ujinga tu unatukwamisha.
 
Humu jf huwa nawaambiaga watu kuwa wakenya wamejipanga kuliko watu mnavyodhani. Serikali inashirikiana na sekta binafsi ili kutafuta fursa. Kuna video niliona ya hilo jengo wanalotumia kupack maparachichi kwa ubora wa kimataifa na mitambo waliyoweka humo, nilinyanyua mikono juu 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿.
Hapa Tanzania maparachichi ni mengi mpaka yanamwagwa, hakuna soko
Hapa Tanzania, sijui ni akili ndogo, sijui ni wivu, sijui ni roho mbaya. Yaani kuna ujinga mwingi sana unafanyika.


Hiyo ishu ya parachichi ni rahisi. Soko china, Uarabuni, ulaya, Marekani lipo. Kwani serikali isikopeshe vijana wawe na hiyo international standard facility njombe au iringa, vijana wa sua tena wamesoma mpaka wameenda mpaka Israel ila hawana kazi, Kwani benki ya kilimo kazi yake ni nini?

Ni ujinga ujinga tu unatukwamisha.
Acha tuu vijana wapo...wanasisitiziwa kilimo at the end hakuna soko..kumbe masoko yako mengi nje huko..dunia bado inahitaji chakula sema ndo hivyo...
 
Ni rahis sana kufanya biashara kenye kuliko Tanzania...
Mfumo WA ni mrahisi sana kufanya biashara sisi kwetu milolonngo ni mingi sana...
Na mifumo mingi haipo transparent ndo sababu....
Yaani sio A+B
Yaani ni mlolongo....kama uamini jaribu ku import au ku export bidhaa za vyakula...
Haswa akwenye ku import Mimi Nina ushuhuda..
Icing sugar hapa bongo haizalishwi...kuingiza nchini ni 100% kodi.
Yaani unanunua Kenya 1000 unalipia kodi 1000
Kenya huu ujinga haupo japo WAna imports a lot from tz
Ni kweli kabisa
 
Humu jf huwa nawaambiaga watu kuwa wakenya wamejipanga kuliko watu mnavyodhani. Serikali inashirikiana na sekta binafsi ili kutafuta fursa. Kuna video niliona ya hilo jengo wanalotumia kupack maparachichi kwa ubora wa kimataifa na mitambo waliyoweka humo, nilinyanyua mikono juu 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿.
Hapa Tanzania maparachichi ni mengi mpaka yanamwagwa, hakuna soko
Hapa Tanzania, sijui ni akili ndogo, sijui ni wivu, sijui ni roho mbaya. Yaani kuna ujinga mwingi sana unafanyika.


Hiyo ishu ya parachichi ni rahisi. Soko china, Uarabuni, ulaya, Marekani lipo. Kwani serikali isikopeshe vijana wawe na hiyo international standard facility njombe au iringa, vijana wa sua tena wamesoma mpaka wameenda mpaka Israel ila hawana kazi, Kwani benki ya kilimo kazi yake ni nini?

Ni ujinga ujinga tu unatukwamisha.
China Kuna soko la parachichi sanaa...
Maana china wanaingiza na wenyewe Kwa speed ya kuzalisha organic products kama mafuta,,,sijui shampoo Wana export ulaya.....yaani vitu vya asili vya kupaka,urembo...soko ni kubwa lakini wewe kama mwananch WA kawaida kutoka njombe huwezi muuzia mchina ni ngumu...
Lazima kuweka na vitu hapo katika ambalo ndo serikali yetu iingie kati .
Kama hiyo mitambo na kadhalika na kadhalika....kumbuka kwamba parachichi ni perishable goods.....,wakenya wanaweza kwasababu serikali inatoka 50% ya mchango wao..
Kuwezesha wananchi...
Kama ushafika Kenya uanaona daladala zao nyingi zimeandikwa SACCO?
Vikundi vinajiunga serikali inawawezesha wanamiliki Hadi biashara ya usafirishaji kupitia mabank..nafikiri za watu binafsi ni chache.
Kwa kifupi serikali ya Kenya ni part and parcel ya kwanini wakenya wanaofanya vizuri kimataifa na hata ndani ya nchi...very organized country
 
Inasemekana, kuna wakati Wakenya walikuwa wanakuja Tanzania, nafikiri Gairo, kununua viazi mviringo na kwenda kuvifsafisha, kuvigrade, na kuvifanyia packaging kisha kuvisafirisha kwenda sokoni Dubai.

Inasemekana, Wakenya hua wanavifuata vitunguu Tanzania, si kwa ajili ya kuviuza Kenya, bali nchi za nje hasa Dubai.

Inasemekana, hata Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite, kwa miaka ya nyuma, walikuwa wanapendelea zaidi kuuza madini yao Kenya kuliko nchini. Inaonekana kulikuwa na cha ziada walichokuwa wanakipata huko, vinginevyo, wasingejihatarisha kiasi hicho kutorosha madini mpaka Kenya.

Inasemekana, miaka ya nyuma , Kenya ilikuwa ikisafirisha Tanzanite nyingi zaidi kuliko Tanzania, nchi pekee duniani Tanzanite inakopatikana.

Inasemekana, miaka ya nyuma, Wakenya walikuwa wakifuata parachichi nchini Tanzania. Kipindi hicho, parachichi zilikuwa na bei nzuri, lakini walipoacha kufanya hivyo, wakulima wa Tanzania wakaambulia maumivu. Na hayo maparachichi, Wakenya walikuwa wakienda kuyasafirisha kwenda "ng'ambo".

Inavyoonekana, Wakenya wako vizuri zaidi kwenye biashara za "Kimataifa" kuwazidi Watanzania.

Wakenya ni "ndugu" zetu, kama wao wameweza, kwa nini sisi tushindwe?

Haitakuwa jambo jema endapo tutaamua kwenda kujifunza kwao?

Binafsi ninafikiria nimtafute Mkenya aliye vizuri kwenye hilo eneo ili nimfanye "mentor" wangu.

Tanzania tuna fursa nyingi sana. Tunachohitaji ni IDEA EXPLOSION!
Tanzania bado hatuna shida, angalia jinsi tunavyoshabikia mpira wa simba na yanga. Angalia tunavyo jadili wasanii kila kukicha. Angalia Jinsi nchi yetu inavyoongozwa kishabiki yaani wananchi wanajigawa team fulani. Kenya wanajua nini maana ya shida na kupambana. Kama una biashara yako ukiajiri mkenya atapambana na kuiendeleza kila siku na takufundisha mbinu ya kutumia vizuri rasilimali zako. Wakenya wanapiga kazi vibaya sana aisee na wanajua kujituma. Sisi watanzania tukipata hela ya kubadilisha mboga na kustarehe na wanawake tunaridhika na kuweka miguu juu. Hata ukifuatilia wanasiasa walioiba hela serikalini, mafisadi wa kenya wamefungua biashara kubwa nchi mwao huku sisi mafisadi wetu wanaficha hela nje na kununua magari ya bei mbaya badala ya kutengeneza ajira.
 
China Kuna soko la parachichi sanaa...
Maana china wanaingiza na wenyewe Kwa speed ya kuzalisha organic products kama mafuta,,,sijui shampoo Wana export ulaya.....yaani vitu vya asili vya kupaka,urembo...soko ni kubwa lakini wewe kama mwananch WA kawaida kutoka njombe huwezi muuzia mchina ni ngumu...
Lazima kuweka na vitu hapo katika ambalo ndo serikali yetu iingie kati .
Kama hiyo mitambo na kadhalika na kadhalika....kumbuka kwamba parachichi ni perishable goods.....,wakenya wanaweza kwasababu serikali inatoka 50% ya mchango wao..
Kuwezesha wananchi...
Kama ushafika Kenya uanaona daladala zao nyingi zimeandikwa SACCO?
Vikundi vinajiunga serikali inawawezesha wanamiliki Hadi biashara ya usafirishaji kupitia mabank..nafikiri za watu binafsi ni chache.
Kwa kifupi serikali ya Kenya ni part and parcel ya kwanini wakenya wanaofanya vizuri kimataifa na hata ndani ya nchi...very organized country
Ile nchi ina uhaba wa vitu vingi. Nahisi ile hali ya ukosefu wa vitu vingi imewafanya wawe na akili na kujipanga vizuri. Sio kama sisi, nchi kubwa halafu iko tupu, ukimaliza kimara nchi iko tupu. Inakuwa kama kubwa jinga fulani hivi 🤣🤣
 
Ile nchi ina uhaba wa vitu vingi. Nahisi ile hali ya ukosefu wa vitu vingi imewafanya wawe na akili na kujipanga vizuri. Sio kama sisi, nchi kubwa halafu iko tupu, ukimaliza kimara nchi iko tupu. Inakuwa kama kubwa jinga fulani hivi 🤣🤣
Hata life style yao
Wakenya hawana mambo ya kununuliana vyakula au kupeana hela,kupigana mzinga kule wanakaushiana
Mbongo mtu anaweza amka asubuhi mpaka jioni yeye ni kupiga vizinga tu siku inaenda

Ova
 
Mkulima Milionea wa Njombe


View: https://m.youtube.com/watch?v=MKOgPfGfVjk

Serikali kuu, pia za mikoa na mitaa ziwekeze zaidi kusambaza mitandao ya wakulima wajue kuzalisha mazao bora na pia kubaini masoko yake kimataifa ili wakulima waweze kuyafikia masoko ya kimataifa zaidi ya ilivyo sasa.

Mwalimu aliyeacha kazi, na kujikita katika kilimo cha parachichi

View: https://m.youtube.com/watch?v=0F6gGmVg8As


IJUE TAHA NA KAZI ZAKE



View: https://m.youtube.com/watch?v=B-mHb-pGlco
Vipindi vingi vya online vitayarishwe wakulima wapate taarifa kupitia simu zao janja za mkononi na kompyuta.

Wakulima wajitangaze kimataifa badala ya kuwa bubu katika majukwaa ya intaneti kimataifa, ikiwezekana wajifunze lugha ngeni kubwa kuweza kufikia masoko ya kimataifa.

Ikiwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya wanaji brand na kufikia ulimwengu vipi halmashauri za Mbinga, Wangingombe, Meru n.k hawana idara wala maofisa kilimo, biashara na ugani kuisaidia sekta ya kilimo, uvuvi na mifugo kutangazwa kimataifa kwa lugha ya kigeni kulifikia soko la kimataifa


View: https://m.youtube.com/watch?v=CMC9P9-qel4
Source : TAHA ONLINE TV
 
Ile nchi ina uhaba wa vitu vingi. Nahisi ile hali ya ukosefu wa vitu vingi imewafanya wawe na akili na kujipanga vizuri. Sio kama sisi, nchi kubwa halafu iko tupu, ukimaliza kimara nchi iko tupu. Inakuwa kama kubwa jinga fulani hivi 🤣🤣
Na kweli chek kuanzia namanga mpaka karibia Nairobi Kuna ka ukame flani hivi ka mda wote...
 
Back
Top Bottom