Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

Kipindi gani hicho mkuu? Mimi ninachofahamu ni kuwa Waisraeli ndiyo waliokuwa wakiwasaidia Watanzania kujenga scheme ya umwagiliaji.

Walikuja kujifunza au walikuja kujitolea kufundisha?
Baada ya kujifunza kwetu mkuu fuatilia historia vizuri na kuna kiongozi alienda hko alipofika aliambiwa mbona wataalam wote wametoka Tanzania kipindi cha kikwete alienda nje akakuta wakuu wengi wa mashirika wanatoka Tanzania akiwemo professor musa asadi na Omar nundu na wengine wengi akawaahidi warudi nyumbani atawapa nafasi kubwa kwenye serikali yake kuna watanzania wengi tu wapo nje wanafanya vizuri ila siasa ndio inaharibu nchi yetu.
 
Elewa wazi kenya ni blockers wa mazao nafaka yote afrika mashariki kama mahindi na nk


Kingine usichokijua kwa Afrika mashariki Freeman aikael mbowe na uhuru kenyatta ndo

Wauzaji mazao mbogamboga ulaya yote kutokea Afrika mashariki na kati
Nilisikia Serikali iliiharibu bustani ya Mbowe. Kwa hiyo ni kweli alikuwa akifanya hiyo biashara, lakini ni kweli alikuwa akiuza Ulaya? Yeye aliwezaje?
 
Inawezekana siyo wachoyo mkuu ila tu umekutana na mchumi makini🤣
Tena wachumi haswa
Uchoyo wao naujua sana tuko tofauti mkuu
Mtanzania atakugawia hata karanga au mhogo
Ila wao ukienda kwao bila taarifa utakaa sitting room na gazeti utapewa, wao wanakula na hawakuiti n'goo

Kweli wako makini kwa maisha ila sio kwa roho ya hivyo
Hawana ukarimu kabisa hilo ndio tunalotofautiana nao
Naweza kuweka akiba na nikalisha watu bila kuathiri mali zangu ila kwao mwiko
 
Mkuu, mbona mimi nawaamini sana Wakenya?.

Siamini kama kuna mtu anyeweza "kunipiga"

Anipige mimi nikiwa wapi? Kika kitu tutaifanya kwa kuzingatia kanuni, taratibu, na vigezo.
Nakuhakikishia kwa elimu yetu na uoga tuliofundishwa wabongo,usitegemee kufanana na Mkenya. Sisi wanyenyekevu waoga kwa kila kitu. Mkenya amefundishwa hata jinsi ya kuishi nje ya nchi yake. Atakupiga ktk biashara hiyo hiyo utakayomshirikisha. Sisi hatujui hata namna ya kuwa pattiner na mwingine kibiashara. Tumeweka mbele kuaminiana tu. Unamwamini mwenzio ksbb ya mazoea. Tatizo linapokuja kwenye pesa hakuna mwaminifu hapo. Ksbb utamwamini mwanzo,huko mbele mkenya anaweza kuja kukuachia manyoya
 
Tena wachumi haswa
Uchoyo wao naujua sana tuko tofauti mkuu
Mtanzania atakugawia hata karanga au mhogo
Ila wao ukienda kwao bila taarifa utakaa sitting room na gazeti utapewa, wao wanakula na hawakuiti n'goo

Kweli wako makini kwa maisha ila sio kwa roho ya hivyo
Hawana ukarimu kabisa hilo ndio tunalotofautiana nao
Naweza kuweka akiba na nikalisha watu bila kuathiri mali zangu ila kwao mwiko
Si uchoyo huo mkuu, ni utamaduni wao! Watakuwa wameutoa kwa Wazungu.
 
Si uchoyo huo mkuu, ni utamaduni wao! Watakuwa wameutoa kwa Wazungu.
Haswa wazungu wako hivyo sana tu
Ila na mimi kuna wazungu huwa nawapa halafu nawaambia sharing is caring naona baadhi wanaelewa ila utaambiwa kwa mfano chakula kina nini ndani yake usije kupaliwa au hutumii
Sisi bado tuna utamaduni wa kiafrika nafikiri ni mzuri zaidi
 
Baada ya kujifunza kwetu mkuu fuatilia historia vizuri na kuna kiongozi alienda hko alipofika aliambiwa mbona wataalam wote wametoka Tanzania kipindi cha kikwete alienda nje akakuta wakuu wengi wa mashirika wanatoka Tanzania akiwemo professor musa asadi na Omar nundu na wengine wengi akawaahidi warudi nyumbani atawapa nafasi kubwa kwenye serikali yake kuna watanzania wengi tu wapo nje wanafanya vizuri ila siasa ndio inaharibu nchi yetu.
Siasa! Ndiyo kusema tatizo letu kubwa ni ukosefu wa Siasa safi?
 
Tanzania pesa ipo nyingi sana tatizo uvivu wa kufikili ila pesa ipo bro miezi miwili ukoumiza kichwa wewe bilionea
 
Haswa wazungu wako hivyo sana tu
Ila na mimi kuna wazungu huwa nawapa halafu nawaambia sharing is caring naona baadhi wanaelewa ila utaambiwa kwa mfano chakula kina nini ndani yake usije kupaliwa au hutumii
Sisi bado tuna utamaduni wa kiafrika nafikiri ni mzuri zaidi
Ni kweli, utamaduni wa Kiafrika ni mzuri zaidi. Tena, tukienda mbali zaidi, naweza nikakuambia kuwa utamaduni wa kabila letu ni mzuri zaidi kuliko la kabila lingine lolote lile.

Ila cha ajabu sasa, na Wazungu nao wanaona wa kwao ni bora kuliko wa Waafrika. Kilichopo ni kujielewa na kuwaelewa wengine. Kufanya hivyo kutatuepusha kuwalaumu wengine.
 
Ni kweli, utamaduni wa Kiafrika ni mzuri zaidi. Tena, tukienda mbali zaidi, naweza nikakuambia kuwa utamaduni wa kabila letu ni mzuri zaidi kuliko la kabila lingine lolote lile.

Ila cha ajabu sasa, na Wazungu nao wanaona wa kwao ni bora kuliko wa Waafrika. Kilichopo ni kujielewa na kuwaelewa wengine. Kufanya hivyo kutatuepusha kuwalaumu wengine.
Nao wako sawa kwa upande wao, kwa mfano unaweza kumpa mtoto chocolate halafu kumbe ana allergies nazo akafa lawama inakuwa kwako
Ndio maana hata watoto wakienda kwa jirani hawawapi chakula mpaka wapate idhini ya wazazi kwanza

Ni vizuri pia maana wao wanaangalia yasije yakawakuta
Mambo mengi sana wanajitahidi kwa mfano mwingine hawawezi kuzika maiti mpaka ipelekwe hospitali ikafanyiwe uchunguzi hata kama amefia nyumbani kifo cha kawaida
Ni lazima akafanyiwe uchunguzi
Ila sisi utasikia tu kuna kilio kwa fulani na jioni au baada ya masiku mtu anazikwa
Na kesi za mirathi na mauwaji yapo kibao
Hebu fikiria kila maiti ikichunguzwa wangapi wataumbuka?

Hata waarabu pia wanapeleka hospitali pia ndio wanazika kwa baadhi yao
Sisi bado mengi sana ila silaumu ni maisha yetu haya ya kuzika tu hata kama mzee alinyongwa na mwanae usiku au ulipewa sumu na mkeo sawa tu
 
Nao wako sawa kwa upande wao, kwa mfano unaweza kumpa mtoto chocolate halafu kumbe ana allergies nazo akafa lawama inakuwa kwako
Ndio maana hata watoto wakienda kwa jirani hawawapi chakula mpaka wapate idhini ya wazazi kwanza

Ni vizuri pia maana wao wanaangalia yasije yakawakuta
Mambo mengi sana wanajitahidi kwa mfano mwingine hawawezi kuzika maiti mpaka ipelekwe hospitali ikafanyiwe uchunguzi hata kama amefia nyumbani kifo cha kawaida
Ni lazima akafanyiwe uchunguzi
Ila sisi utasikia tu kuna kilio kwa fulani na jioni au baada ya masiku mtu anazikwa
Na kesi za mirathi na mauwaji yapo kibao
Hebu fikiria kila maiti ikichunguzwa wangapi wataumbuka?

Hata waarabu pia wanapeleka hospitali pia ndio wanazika kwa baadhi yao
Sisi bado mengi sana ila silaumu ni maisha yetu haya ya kuzika tu hata kama mzee alinyongwa na mwanae usiku au ulipewa sumu na mkeo sawa tu
🙏🙏🙏
 
Lugha ni kisingizio.
Mbona wachina wanasoma kwa kichina na wanaongea kwa kichina, ila wanazalisha bidhaa wanauza dunia nzima? Vipi kuhusu, Japan, Korea, Uturuki?



Lugha sio sababu
Wewe na wengine mnaojifananishaga na China huwa mna akili ndogo sana... unajua hadi China kafika hapo alifikaje? Sisi twende kwa njia zetu tunazoweza kwenda nazo ikiwemo hiyo ya lugha... tutakuwa wapumbavu kujimwambafy kuwa kiswahili kinatosha huku tumeshasaini mikataba kibao na mabeberu wenye lugha yao. Kwa tulipofikia hatuwezi kuwavimbia wazungu. Twende nao kijanja
 
Wewe na wengine mnaojifananishaga na China huwa mna akili ndogo sana... unajua hadi China kafika hapo alifikaje? Sisi twende kwa njia zetu tunazoweza kwenda nazo ikiwemo hiyo ya lugha... tutakuwa wapumbavu kujimwambafy kuwa kiswahili kinatosha huku tumeshasaini mikataba kibao na mabeberu wenye lugha yao. Kwa tulipofikia hatuwezi kuwavimbia wazungu. Twende nao kijanja
Sawa Mkuu
 
Wanasema mchawi mpe mwanao akulelee! Hatuwezi "kuwarubuni" Wakenya ili watupatie maujuzi yao?
Anakupaje kwanza? Maana ujinga wetu ndio mtaji wao.... Na jamaa wa binafsi Sana, kumbuka kule kunaukabila hata biashara utakua mkikuyu kwa mkikuyu na mluo kwa mluo.. Sembuse uje weye Mtanzania... Hapa ni sisi watanzania kubadili mtizamo... Tukitumia umoja wetu kuchangiana ujuzi na mtaji tungekua mbali... Tatizo roho za kila mtu kutakua awe bora zaidi na mashuhuri zimetufanya kila mtu afe kivyake... 😢😢
 
Kikwazo namba 1 ni serikali hii ya ccm

Kuna mfumo uko nchi hii wa kuwakombatia watu fulani
Mtu wa kawaida akisema aanze ataletewa zengwe mpaka basi

Unapoandika uzi huu sshv kuna wakenya nawajuwa wanakuja kununua nanasi kiwangwa

Ova
 
Mkuu usiwaone wakenya wanakuja wale hawaji na lakisaba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wale wamejipanga ohoo! Ngoja nikuelezee. Kuna jamaa yangu alikuwa kwenye hizo ishu alinipaga ufafanuzi wakina. Ngoja nieleze kwa urefu, samahani kama nitakosea (spellings natype fastafasta).


1. Kwanza ili uweze kuexport vitu kwenda soko la Ulaya, Marekani, Uarabuni, UAE, Dubai, Saudi Arabia. Lazima uwe na vibali ambavyo vinalipiwa pesa, uwe na vibali vya ubora kama ISO standards,EU standards, Halal standards. Hapo pesa inahitajika

2. Uwe na mtaji wa kununua mazao na kusafirisha mazao mpaka sehemu husika. Hapo pesa inahitajika

3. Uwe na eneo ambalo linakidhi ubora wa kimataifa kwa ajili ya packing, wafanyakazi, mitambo ya packaging. Maana yake ama ujenge kiwanda au ukodi jengo lenye vigezo ndio uanze uzalishaji. Na ili upate certificate ya kimataifa inabidi jengo liwe lako sasa piga hesabu ya kununua kiwanja cha Light industry au heavy industry mpaka unapata hati ya kiwanja ushatoa rushwa mpaka umechoka [emoji1787][emoji1787], kujenga jengo kwa designs,michoro na ubora wa kimataifa EU,USA, ISO standards ni pesa [emoji1787], kuvuta umeme hapo ni kuwapa rushwa tanesco mpaka wakuletee umeme umeshachoka [emoji1787][emoji1787], kuweka mitambo hapo kutafuta mitambo inayotoa bidhaa yenye ubora wa kimataifa na mpaka uitoe mitambo bandarini ushatoa rushwa ya kutosha [emoji1787][emoji1787], kulipa wafanyakazi ambao wana ujuzi wa kuzalisha bidhaa yenye ubora wa kimataifa sio kulipualipua[emoji1787] , mpaka kufikisha ubora wa kimataifa umechoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hapo ni pesa tu inahitajika

4. Uwe na uwezo wakutafuta container special la kusafirisha mazao na kulipakiaa ama kwenye meli au ndege. Hapo ni pesa inahitajika

5. Uwe na connection ya upande wa pili wa unakopeleka na hao unakoexport lazima uwalipe. Na mzigo kufika mpaka kwa mteja lazima ulipe. Hapo pesa inahitajika

6. Uwe na pesa ya marketing ya bidhaa unayozalisha, na kuhudhuria international exhibition mara kwa mara ili kupata wateja wakubwa. Hapo hela inahitajika.

7. Bado kuna kulipa kodi na usafiri wa pande zote mbili, nchi unayotoa mzigo na unakopeleka, hapo kwa Tanzania mpaka uzungushwe na kusumbuliwa kweli kweli [emoji1787]. Na Hapo hela inahitajika.



Baada ya harakati zote hizo ndio sasa unaanza kuingiza hela.

Huo mchakato wa kuzalisha bidhaa za kuexport unataka hela na ubora wa kimataifa. Ukifanya kosa moja TU umekula hasara. Mzigo kama hauna ubora wa kimataifa unatupwa. Huko wenzetu wako very serious, sio huku ukitoa rushwa mzigo feki unavuka [emoji1787]

Ndio maana matajiri wa kibongo hawapo kwenye viwanda vya kuexport vitu kwenda soko la kimataifa. Wao wapo kwenye biashara za kuagiza vitu dubai,china, uturuki. Weka kwenye stoo na madukani unauza unapata hela bila usumbufu. Au wanajenga mahoteli na mabar mkalewe humo na kuzagamuana humo wao waingize hela. Au wanajenga sheli, mkaweke mafuta waingize hela fasta. Au wanajenga shule, mlipie ada watoto wao waingize hela. Au wananunua malori na macontena na mafuta, yapige safari za Congo, Zambia, Rwanda, Burundi, waingize hela. Au wanaweka viwanda vya unga wa ngano, juisi, energy drinks, pombe, mnunue mnywe/mle waingize hela. Au wananunua mabasi ya mkoani, weka nauli pandeni safirini, wao wanaigiza hela.

Sekta ya kuexport vitu sio rahisi kama unavyofikiria. Hao wakenya wamejipanga na ni wazoefu. Msiwachukulie poa.
Serikali yao imewasimamia kuhusu upande wa ku export na hayo mambo mengine uliyosema
Sisi huku tuendele kufungua bar,watoto wakatike mauno misomisondo honey ndiyo ajira mpya

Ova
 
Mfumo wenyewe unatupiga kichwani, ukionyesha kutaka kutoboa serikali hiyo hapo na makodi kibao.

Hata kuonyesha support ili upasue njia mbele huko wao utawaona 'unadaiwa kodi ya miaka 6'.

Wenzetu wanapeana support plus serikali kuweka mazingira rafiki, mfano kupata passport au Visa hadi hapo unakata tamaa.
Serikali hii ya ccm ni waoga sana
Kuona watu wengi wakiwa na kipato kikubwa cha pesa

Ova
 
Sekta ya kuexport vitu kwenda soko la kimataifa ndio ina hela nyingi, tz tungepata matrillioni mengi kwenye kuexport. Nchi zote duniani zenye pesa huwa zinaexport vitu ili kuingiza hela na kutengeneza ajira. Sisi huku ni mwendo wa kukurupuka tu [emoji23]. Duniani kote nchi kubwa zinapambana kuexport bidhaa mbali mbali, sisi ndio kwanzaa tuko bize na kuimport [emoji23]. Na kununua maV8 [emoji23][emoji23]
Anza na Comoro sheh

Ova
 
Back
Top Bottom