Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Pole mchungaji imekuuma lakini ndo hivo dini biashara
 
Acha ndoto wee huwezi kuolewa🀣🀣🀣
Nani ataoa mwanamke mwenye tatoo kwenye tako🀣🀣🀣🀣
Ha ha haa,ndo maana namiss kuchat nawe aisee,we jana si nilisema natania bhana...sijachora tafadhali
 
Mkuu usishangae,miaka mingi tumepigwa upofu!Kumbe haya makanisa ni vichaka vya Shetani,wala hajawahi kuyaachia baada ya kujitenga na Catholicsism.Papa mwenyewe amesema madhehebu hayo ni makahaba,Kanisa la Roma lenyewe likiwa ndilo Mama wa Makahaba hayo!The so called Churches,kumbe kujitenga na Catholicsism haikuwa lolote,but was a tactical move by Satan kuwadanganya watu ili kuendeleza the Pagan Worship practised by the Catholic Church.So usishangae mkuu,it is part of the game.

Pope Francis himself has revealed it all,watch thisπŸ‘‡.Ila usifurahi kama wewe ni Muislam,you are not safe either.Infact hali ya Islam is even worse.

 
Mkuu unadhani kama ningepiga picha pale ingeelewekaje?
Mkuu lete picha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa Jirani yangu Kuna kanisa la Roma ibada ikiisha huwa anaitisha creti ya safari au Kilimanjaro then watakao wanamwagilia Moyo ...nikasema hii hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…