SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mungu siku zote ni hakimu wa haki.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu siku zote ni hakimu wa haki.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Haya ndiyo maisha yake sasaHamumuoni Makonda anavyohangaika? Mikono yake ina Damu za watu! Kikwete pia hana Amani kwani damu ya maandishi wa habari Mwangosi iko mikononi mwake kwa kuwaamuru polisi wamshambulie.
Kwenye uongozi WA kiongozi gani damu haijamwagika?chadema hamna akiliTunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Mbona kikwete enzi zake watu waliuawa wengi tu lakini bado yupo?watu hamuwezi kufikiri vizuriAcheni ujinga nyie wanafiki. Nani amuue yule jamaa. Yule alikufa kwa dhambi zake huwezi kumwaga damu ya binadamu ukaishi salama. Kafuatilie kifo cha Abacha kilikuaje baada ya kuua watu wengi.
Na kale ka kifaa ka kuchaj moyoKirusi tu cha Corona kiliondoka na mjinga. hakuna cha Mwambusa wala Rwagasore.
Kwamba Magufuli na Kikwete wote waliua watu?Mbona kikwete enzi zake watu waliuawa wengi tu lakini bado yupo?watu hamuwezi kufikiri vizuri
HakikaKweli Mkuu damu ya Mtu haipotei kamwe ,hata aliemuua Ben Saanane na Azory Gwanda siku moja Mungu atatupa majibu🤲🏾