Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani waziri mwandamizi anavyolalamika, nimeshangaa sana.Mifumo ya Tanzania ni ya kijinga sn, Stive Nyerere ni rahisi kumuona Rais kuliko Waziri/KM/RC/RAS/DC/Mbunge n.k, chawa wana thamani kubwa sn
Msikilize, Prof Mkenda akilalamika mbele ya Rais kwa kunyimwa nafasi ya kuonana na Rais.
Au labda ni kuhimarisha ulinzi wa Rais?
Wanajukwaa mna maoni gani kuhusu hili.
View: https://x.com/Kiganyi_/status/1885976893318365530?t=nwvf5FZapBbQVg27ryk0rw&s=19
Huko ndio anapoendaga Maulid Kitenge au Zembwela na Mwijaku Steve Mwngele?Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
CCM kuna mambo ya kijinga sn, Mrisho Mpoto na Diamond muda wowote hata saa 9 ucku wanamuona bila shidaYaani waziri mwandamizi anavyolalamika, nimeshangaa sana.
Waziri kuonana na Rais ni hadi kikao cha mawaziri.
Chawa anawaamini snSamia anakaribiana na watu wasiozidi watano.tu 🤣🤣🤣 haamini mtu
Dharula zinazingatiwa?Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
Mifumo ya Tanzania ni ya kijinga sn, Stive Nyerere ni rahisi kumuona Rais kuliko Waziri/KM/RC/RAS/DC/Mbunge n.k, chawa wana thamani kubwa sn
Hawa wanakuwa na msaada upande wa ufundi ndiyo maana maza yupo imara, wanawajua waganga wazuri wote, angalia wao hawana elimu yoyote lakini ndiyo washauri wakubwa wa maza badala ya ma-ProfessorYaan kumuona rais akienda chawa Maulid Kitenge na Zembwela Mwijaku Dotto Magari bila kusahau Steve Mengele wanaruhusiwa fasta ila Mawaziri NO
Wewe hujui protocol kaa kimyaWaziri hana namba za simu za Rais hadi apitie kwa watu wengine??
Yaani waziri mwandamizi anavyolalamika, nimeshangaa sana.
Waziri kuonana na Rais ni hadi kikao cha mawaziri.
Vyovyote iwavyo lakini ni yeyeHuyo ni Mengele, sio Nyerere