Kama waziri kuonana na Rais ni changamoto hivi, kuna shida mahali

Kama waziri kuonana na Rais ni changamoto hivi, kuna shida mahali

Yaan kumuona rais akienda chawa Maulid Kitenge na Zembwela Mwijaku Dotto Magari bila kusahau Steve Mengele wanaruhusiwa fasta ila Mawaziri NO
Hawa wanakuwa na msaada upande wa ufundi ndiyo maana maza yupo imara, wanawajua waganga wazuri wote, angalia wao hawana elimu yoyote lakini ndiyo washauri wakubwa wa maza badala ya ma-Professor
 
Labda Mh alikuwa na dharura sidhani kama Wasaidizi watakurupuka tu,sasa kuja kusema hadharani ndio nini.Ila hawa Viongozi wetu wananishsngaza sana juzi eti Spika nae alikuwa anawalalamikia tcra.
Yaani waziri mwandamizi anavyolalamika, nimeshangaa sana.
Waziri kuonana na Rais ni hadi kikao cha mawaziri.
 
Back
Top Bottom