Kama waziri kuonana na Rais ni changamoto hivi, kuna shida mahali

Kama waziri kuonana na Rais ni changamoto hivi, kuna shida mahali

Mzee wa Kichagga amechoka ameamua kuongoea ukweli atumbuliwe akapumzike zake
 
Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
Unajua maana ya agenda?? Na agenda inaingiaje kwenye kikao.na Mkutano ukiisha nani anatangulia kutoka, au watu wanakuwa na Raisi, ili wewe waziri umpite Makamu wa Raisi, umpite Waziri Mkuu, upate nafasi ya kuongea na Raisi , na agenda za siku zikiisha Raisi Tayari ana mipango mingine.
 
Angekuwa mwijaku au Steve nyerere mondi faster ananana naye mambo yenyewe ya kipuzz
Mambo ya msingi yanabaniwaaa
F country kbsaaa

Ova
 
Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
Screenshot_20250201_205434.jpg
 
Pof dakika za jioniiii kaamua amwage ugali ajiondokee zake.
 
mara nyingi ni mafia na huwafanyia umafia wengine ndo maana waoga na wanajilinda hivyo, mara nyingi criminal huwa muoga sana …
 
Labda Mh alikuwa na dharura sidhani kama Wasaidizi watakurupuka tu,sasa kuja kusema hadharani ndio nini.Ila hawa Viongozi wetu wananishsngaza sana juzi eti Spika nae alikuwa anawalalamikia tcra.
kusema ni kumshtaki Rais kwa mabosi wake (wananchi)
 
Hana namba ya Abdul ?!
Kama hana atengeneze ukaribu mzuri na mr mapete.
 
Ndugu wala sio mifumo, ndio uhalisia wa tulipofikishwa na CCM.

CCM wanaamini (na ndivyo ilivyo) katika wizi wa kura ili wawepo madarakani, na si kwa utendaji uliotukuka.

Steve Nyenyere anaweza "kuhalalisha" ushindi wa kishindo wa CCM kwa kujaza watu kwenye mikutano ya kampeni tofauti na Prof. Mkenda ambaye (hata yeye binafsi anafahamu) hawezi kuihalalishia ushindi CCM kikampeni.

Kwa CCM na viongozi wao, mtu yeyote mwenye ushawishi wa wajinga wengi (mfano Mwamposa, Diamond, Ally Kiba na wengineo) kwao ni assets kwani wanaweza kuhalalisha ushindi wao kwa kuwakusanya hao wajinga kwa maelfu.
Nimecheka
 
Vivyo hivyo kwa Common mwananchi kumuona huyo waziri anayelalama ni nenda rudi za kutosha.
 
Back
Top Bottom