Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti Lissu anaonana na kila mtu muda wowote ndio maana anaropoka sana bila ushahidi!Mifumo imekaa kijinga haswa, ndiyo maana kila mtu anasifia hata mambo ya kijinga ili apate access
Unajua maana ya agenda?? Na agenda inaingiaje kwenye kikao.na Mkutano ukiisha nani anatangulia kutoka, au watu wanakuwa na Raisi, ili wewe waziri umpite Makamu wa Raisi, umpite Waziri Mkuu, upate nafasi ya kuongea na Raisi , na agenda za siku zikiisha Raisi Tayari ana mipango mingine.Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
Kama ana jambo la haraka ndio angojee miezi mitatu hadi ifike siku ya vikao ina make sense?Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
Kwani kabla ya Rais, hakuna waziri mkuu?Kama ana jambo la haraka ndio angojee miezi mitatu hadi ifike siku ya vikao ina make sense?
Hatutaki kurudia makosa yaliofanyika kwa Magufuli! Trust no body, suspect everybody ndiyo mwendo wa sasa hapo jumba jeupe!!Msikilize, Prof Mkenda akilalamika mbele ya Rais kwa kunyimwa nafasi ya kuonana na Rais.
Au labda ni kuhimarisha ulinzi wa Rais?
Wanajukwaa mna maoni gani kuhusu hili.
View attachment 3222324
Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
Yaani aache kumpigia Kitibu Mkuu Kiongozi akupigie wewe VEO?Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
Sikaulewa nadhani ukirudi tena nitakulamba tusiMwenyekiti Lissu anaonana na kila mtu muda wowote ndio maana anaropoka sana bila ushahidi!
kusema ni kumshtaki Rais kwa mabosi wake (wananchi)Labda Mh alikuwa na dharura sidhani kama Wasaidizi watakurupuka tu,sasa kuja kusema hadharani ndio nini.Ila hawa Viongozi wetu wananishsngaza sana juzi eti Spika nae alikuwa anawalalamikia tcra.
Yaani Waziri akupigie wewe??Kwani kwenye Baraza la Mawaziri huwa hashiriki huyo waziri. Ok Mwambie anipigie
NimechekaNdugu wala sio mifumo, ndio uhalisia wa tulipofikishwa na CCM.
CCM wanaamini (na ndivyo ilivyo) katika wizi wa kura ili wawepo madarakani, na si kwa utendaji uliotukuka.
Steve Nyenyere anaweza "kuhalalisha" ushindi wa kishindo wa CCM kwa kujaza watu kwenye mikutano ya kampeni tofauti na Prof. Mkenda ambaye (hata yeye binafsi anafahamu) hawezi kuihalalishia ushindi CCM kikampeni.
Kwa CCM na viongozi wao, mtu yeyote mwenye ushawishi wa wajinga wengi (mfano Mwamposa, Diamond, Ally Kiba na wengineo) kwao ni assets kwani wanaweza kuhalalisha ushindi wao kwa kuwakusanya hao wajinga kwa maelfu.
Usinichukulie poa dogo😀😀Yaani aache kumpigia Kitibu Mkuu Kiongozi akupigie wewe VEO?
Tangu umekuwa VEO na wewe unajiona mkubwa balaaUsinichukulie poa dogo😀😀