- Thread starter
- #61
Huyo ni chawa asiyethaminika.Yaani Waziri akupigie wewe??
Umewehuka wewe sio bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni chawa asiyethaminika.Yaani Waziri akupigie wewe??
Umewehuka wewe sio bure.
Mimi siyo veo. Mimi ni mkulima ninayelima kwa ajili ya kuwalisha watanzaniaTangu umekuwa VEO na wewe unajiona mkubwa balaa
Toa ujinga wakoMimi siyo veo. Mimi ni mkulima ninayelima kwa ajili ya kuwalisha watanzania
Huyo mjalana samia bushiri ana ishi kwa hofu kuu sana ...na kama akibaki kitini 2025 damu nyingi itamwagika kutokana na hofu ya udhalimu wake anaofanya na lile genge lake la kihuni.Msikilize, Prof Mkenda akilalamika mbele ya Rais kwa kunyimwa nafasi ya kuonana na Rais.
Au labda ni kuhimarisha ulinzi wa Rais?
Wanajukwaa mna maoni gani kuhusu hili.
View attachment 3222324
Majuzi nilimsikia waziri mkuu naye akilalamika!Mifumo ya Tanzania ni ya kijinga sn, Stive Nyerere ni rahisi kumuona Rais kuliko Waziri/KM/RC/RAS/DC/Mbunge n.k, chawa wana thamani kubwa sn
Nchi hii ina laana kataa au ukubali.Kuongozwa na ccm ni laanaCCM kuna mambo ya kijinga sn, Mrisho Mpoto na Diamond muda wowote hata saa 9 ucku wanamuona bila shida
Umemsahau Baba Revo & MwijakuCCM kuna mambo ya kijinga sn, Mrisho Mpoto na Diamond muda wowote hata saa 9 ucku wanamuona bila shida
Na fitina na uchawaNdivyo inavyotakiwa, ili maamuzi yaamuliwe na kikao; hii ya kwenda mmoja mmoja hii, inaweza kuleta walakini.
Pia kufuata urasimu wa mawasiliano ni muhimu; mfano, kwa nafasi yako unatakiwa uripoti kwa nani?
Beaurocracy at its peakWaziri Salum asiye na cheo chochote anaingia ikulu kama chooni na anaongea na rais kama vile mpenzi wake
View attachment 3222395
Lkn waziri wa masuala ya elimu anazinguliwa kuonana na rais. Shubamiti!!
Nadhani ni uzwazwa tu wa wasaidizi wa rais kushabikia upuuzi na kusahau mambo ya muhimu. Ingelikuwa ni bureaucracy hata Salum na Steve. Nyerere wangekumbana nayo.Beaurocracy at its peak
Mnyonge mnyongeni haki yake mumpe. Naona hapa tatizo sio Rais bali wasaidizi wake, la sivyo asingetoa siku nzima kumsikiliza Mkenda na team yake.Samia anakaribiana na watu wasiozidi watano.tu 🤣🤣🤣 haamini mtu