Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mifumo imekaa kijinga haswa, ndiyo maana kila mtu anasifia hata mambo ya kijinga ili apate accessLabda Mh alikuwa na dharura sidhani kama Wasaidizi watakurupuka tu,sasa kuja kusema hadharani ndio nini.Ila hawa Viongozi wetu wananishsngaza sana juzi eti Spika nae alikuwa anawalalamikia tcra.