Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mifumo imekaa kijinga haswa, ndiyo maana kila mtu anasifia hata mambo ya kijinga ili apate accessLabda Mh alikuwa na dharura sidhani kama Wasaidizi watakurupuka tu,sasa kuja kusema hadharani ndio nini.Ila hawa Viongozi wetu wananishsngaza sana juzi eti Spika nae alikuwa anawalalamikia tcra.
Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
Machawa wakimzunguka boss huwa hawataki mtu mwingine amkaribie ili wao ndiyo waendelee kumlisha matangoporiMsikilize, Prof Mkenda akilalamika mbele ya Rais kwa kunyimwa nafasi ya kuonana na Rais.
Au labda ni kuhimarisha ulinzi wa Rais?
Wanajukwaa mna maoni gani kuhusu hili.
View attachment 3222324
NashangaaKwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
Hujui Protocol, Wewe ni Raia tuWaziri hana namba za simu za Rais hadi apitie kwa watu wengine??
Hata hao watano ni kuwa makini, si unajua ule msemo wa "kikulacho... "Samia anakaribiana na watu wasiozidi watano.tu 🤣🤣🤣 haamini mtu
Unahisi hayo yote yangekuwa rahisi angeshindwa kumuona? Ukiona hivyo hata simu sio rahisi kupokelewa, au inapokelewa na wasaidiziWaziri hana namba za simu za Rais hadi apitie kwa watu wengine??
Kwa nini umlimit? Umemsikiliza?Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hawaonani huko?
Kuna vitu Raisi anatakiwa kuelezwa kabla ya Kikao cha Baraza la mawaziri. Na akisharidhika ndio inaingia kama Agenda kwenye kikao cha Baraza la mawaziri.Nashangaa
Raisi Samia hapendi umbeya
Email ya ikulu anayo,simu anayo,bosi wake waziri mkuu yupo
Hicho anataka kupeleka umbeya kwa raisi kitu gani?
Huyu Mkenda pia ana shida nakumbuka aliongeq bungeni akiponda kuwa bodi ya mikopo ya Elimu ya juu hawampi ushirikiano
Alipobanwa baadaye akakana kuwa hakusema
Afanye kazi zake kwa kuzingatia taratibu
Ofisi ya Raisi sio banda la chips kuwa waweza tu kwenda kutaka kuonana na raisi
Ndugu wala sio mifumo, ndio uhalisia wa tulipofikishwa na CCM.Mifumo ya Tanzania ni ya kijinga sn, Stive Nyerere ni rahisi kumuona Rais kuliko Waziri/KM/RC/RAS/DC/Mbunge n.k, chawa wana thamani kubwa sn