Hahaha kuna kaukweli...ila demu ujiandae maana wanakuwa na de libolo refuuHakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana
Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela
Unatuchafulia cv mkuu.Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.
Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
Wacha kujidanganya, uwezo wa mambo yote uliyotaja hayahusiani na mtu kuwa mrefu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najivunia kuwa mrefu sifa ya warefu hatulazimishi kutongoza kwa kuforce siyo vinganganizi wastaarabu ila watundu wa mapenzi
Ukiwa na demu mmoja ww mrefu uuwawe tu
Anhaaa....Ila wanaume warefu wana mvuto bhana
Ukute yule mrefu asiye na kitambi kanyooka fulani hivi πββοΈπββοΈ
Unahitaji kuwa na moyo mgumu kukataa kiumbe cha namna hii aseee
Acha maneno mengi.... tafuta hela uone kama wachuchu watahagaika na kimo chakoHakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.
Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
Acha maneno mengi.... tafuta hela uone kama wachuchu watahagaika na kimo chako
Sio hasira mjukuu. Ni ukweli mchungu...Punguza hasira babuuu[emoji38][emoji38][emoji38]