Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Kweli tutafute hela babuuNa anachukua pisi kali kabisa.... tena zinamgombea
Loooohh😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tutafute hela babuuNa anachukua pisi kali kabisa.... tena zinamgombea
Lord have MercyNdio,nimepewa bure natoa bure mzee
Wee sema hawana hela tuuKuna hawa mtaani tunawaita "tolu" aisee hata nikibaki nao duniani siwataki.
Urefu tu hautoshi mwonekano muhimu.
Ebu waambie na hawa wengine wa jf watupe bure mbususu hizo....wanabania sanaNdio,nimepewa bure natoa bure mzee
hahahahaEbu waambie na hawa wengine wa jf watupe bure mbususu hizo....wanabania sana
NaamNgwengwe, nini?
NaamNgwengwe, nini?
Ndio dia babu 😊Anhaaa....
Mkuu mimi nimesema mrefuMkuu Mimi ni mrefu Tena sana,kiasi kwamba nikiwa kwenye sehemu zinazojumuisha watu wengi
Misiba,sherehe n.k naonaga noma najikuta Kama naonekana Mimi tu
Hebu kesho ijumaa,tafuta location Kama upo dar, Kisha ni PM
ukisimama kwenye coaster bus kichwa kiguse lile chuma linalopita katikati la kujishikilia abiria halafu mrejesho utaleta hapa.Weka kipimo cha urefu
Duuh kwani urefu unaanzia ngapi?
Diamond Platnumz, Ali KibaHakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.
Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
huu uzi umenitia unyonge.na umbilikimo wangu,dah ndo maana nakula sn vibuti.kumbe ni huu ufupi wanguwafupi wacha tukae kwa pembeni tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huu uzi umenitia unyonge.na umbilikimo wangu,dah ndo maana nakula sn vibuti.kumbe ni huu ufupi wangu