Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Hataki kufanya eti tuangalianage tu usoni
Unaniangusha bwana mwanamke wee mwanaume anakushindaje kwenye hii idara bwana....hakuna mwanaume mgumu kwenye suala la mbususu...tumia maujanja ya kike alege na kuzamisha de libolo hilo kwa mbususu
 
Unaniangusha bwana mwanamke wee mwanaume anakushindaje kwenye hii idara bwana....hakuna mwanaume mgumu kwenye suala la mbususu...tumia maujanja ya kike alege na kuzamisha de libolo hilo kwa mbususu
Ndo naenda nae taratibu,embu ngoja tuone..
 
Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.

Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom