Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Ila wanaume warefu wana mvuto bhana
Ukute yule mrefu asiye na kitambi kanyooka fulani hivi [emoji2296][emoji2296]

Unahitaji kuwa na moyo mgumu kukataa kiumbe cha namna hii aseee

Nilifikiri ni sura kumbe urefu ndio unanipa credit
Ila wa watu nimewakacha jamani
 
Wanawake wafupi weusi wembamba mna nafasi yenu kwangu.
Ndg yangu wew wapekee wengi wanataka chura

Mfano tackle sio kigezo kwang ila sasa Mwanamke akiwa ana sifa nyingine halafu hana chura subconsciously kichwa kinasema “hana tako mbona huyo”

nabak we acha hiyo sio main priority kwahiyo nna conflict na conscious yang kama naeleweka sijui
 
Ndg yangu wew wapekee wengi wanataka chura

Mfano tackle sio kigezo kwang ila sasa Mwanamke akiwa ana sifa nyingine halafu hana chura subconsciously kichwa kinasema “hana tako mbona huyo”

nabak we acha hiyo sio main priority kwahiyo nna conflict na conscious yang kama naeleweka sijui

[emoji23][emoji23] mkuu nimekuelewa sana ila mimi nikiona msichana mfupi flan mweusi mwembamba nywele asilia nadata aisee nipo tofaut sana
 
Wengine hatuna bahati, mada zilivyolenga pesa..mwanaume wallet..mlitutenga manake pesa hatuna. Leo mmetaja urefu, bado sisi ni mbilikimo, kinachofuata ni nini wakuu? Mbona mnatutenga kiasi hiki.
 
Kuna watu (wanawake) waliolewa na wanaume warefu wenyewe wakawaona ni ma-handsome sasa bana kuanza kuwa na uhusiano wa karibu kumbe ni ukorofi na utata mtupu!

Halafu dalili huwa dhahiri tangu wakati wa urafiki na uchumba lakini mwanamke anachukulia kuwa Mwanaume atabadilika,

Weeee mmnh ukorofi kama wote unaambiwa!

Mwanaume hataki ndugu wa mke aje kwao,

Mwanaume jobless mlevi,

Wengine wanaibia wake zao hela ndani ya nyumba,

Ukorofi Kwa majirani ,

Ngumi mkononi,

Mwisho wa siku kuachana!

Kwa hiyo tuombe Mungu atuongoze Katika kutambua wenye moyo safi na rehema na sio kuangalia kwa nje tu kwa kimo, tako, muonekano n.k.
 
Kuna watu (wanawake) waliolewa na wanaume warefu wenyewe wakawaona ni ma-handsome sasa bana kuanza kuwa na uhusiano wa karibu kumbe ni ukorofi na utata mtupu!

Halafu dalili huwa dhahiri tangu wakati wa urafiki na uchumba lakini mwanamke anachukulia kuwa Mwanaume atabadilika,

Weeee mmnh ukorofi kama wote unaambiwa!

Mwanaume hataki ndugu wa mke aje kwao,

Mwanaume jobless mlevi,

Wengine wanaibia wake zao hela ndani ya nyumba,

Ukorofi Kwa majirani ,

Mwisho wa siku kuachana!

Kwa hiyo tuombe Mungu atuongoze Katika kutambua wenye moyo safi na rehema na sio kuangalia kwa nje tu kwa kimo, tako, muonekano n.k.

Nimecheka hapo mwisho mkuu [emoji23]
 
Muhimu ni moyo wa mtu na wala si kimo cha mtu.
Mpaka kijana akomae kukubali hili ni awe amepigwa matukio kadhaa, mwanzo watu wanajalia tu taswira ya nje: mali, elimu, kimo, sura, rangi, shepu, status. Utu, chemistry mtu huja kukubali baadae sana ukute ashafunga pingu
 
Kuna janga kubwa limekumba kati ya hizi jinsia mbili ke wamekuwa wakitupima kwa macho kuwa mwanaume mrefu lazima awe na mhogo mkubwa pia sisi me kigezo tumeweka kwenye tackle sasa sijui wasio na hizo inakuaje.
 
Siku hizi mahusiano ni kiburidisho, hayana maana wala uzito, kama hujui kuigiza bora kubaki singo

Kuigiza ndio mkakati

nna jamaa angu anamwambia mpenz wake hawez kuishi bila ya yeye wakati najua ana cheat na kashatia mimba huko side chick

Nikawa natoa macho wtf is wrong with people...no doubt na yule mwanamke ana cheat pia
 
Back
Top Bottom